Nyamboboy
JF-Expert Member
- Jun 22, 2017
- 362
- 456
Habari ya muda huu ndugu zangu
Kama mada hapo juu inavyoeleza,Kwa wale tuliojaliwa mwaka huu mwezi wa nne kwenye halmshauri mbalimbali hapa nchini limekuwepo tatizo kwenye halmshauri nyingi hatujapewa hela yetu ya kujikimu.
Pamoja na Mh.waziri kulisemea bungeni na halmshauri kupewa siku saba lakini bado hatujapewa,
Sijajua kama ndo kudharau mamlaka ya waziri ama lah,Kitu kingine walimu wa sayansi tumekuwa wapole mno kipindi hiki sijaona hamsha hamsha zozote kwenye halmshauri tukidai hela yetu hii ambayo ipo kwa mujibu wa kanuni,
Tulifanyie kazi ndugu walimu.Asanteni
Sent from my TECNO-L8 using JamiiForums mobile app
Kama mada hapo juu inavyoeleza,Kwa wale tuliojaliwa mwaka huu mwezi wa nne kwenye halmshauri mbalimbali hapa nchini limekuwepo tatizo kwenye halmshauri nyingi hatujapewa hela yetu ya kujikimu.
Pamoja na Mh.waziri kulisemea bungeni na halmshauri kupewa siku saba lakini bado hatujapewa,
Sijajua kama ndo kudharau mamlaka ya waziri ama lah,Kitu kingine walimu wa sayansi tumekuwa wapole mno kipindi hiki sijaona hamsha hamsha zozote kwenye halmshauri tukidai hela yetu hii ambayo ipo kwa mujibu wa kanuni,
Tulifanyie kazi ndugu walimu.Asanteni
Sent from my TECNO-L8 using JamiiForums mobile app