Heko madiwani wa Halmashauri ya Muleba

Heko madiwani wa Halmashauri ya Muleba

Kashaijabutege

JF-Expert Member
Joined
Oct 20, 2010
Posts
2,696
Reaction score
740
Nilifurahi sana jinsi madiwani wa Halmashauri ya Wilaya ya Muleba walisvyoshikamana kuipinga bajeti iliyowasilishwa na Mkurugenzi wa Wilaya. Walidai hawaipitishi kwa sababu kiasi kikubwa kimetengwa kwa ajili ya matumizi ya ofisi ambayo yanawanufaisha watendaji wa halmashauri; na kiasi kidogo ndicho kilitengwa kwa ajili ya maendeleo.

Mama (Mkurugenzi) alimwaga chozi na kuamuru watendaji wa halmashauri watoke nje.

Itapendeza kama madiwani wengine wataiga mfano huu mzuri.

Source: ITV
 
Muleba wameonesha njia, ambayo kila mara watz, waliikosea ndo tukawa fukara ile hali nchi ni tajiri. Bravoooooooooo
 
Mama Tibaijuka 2015 anaondoka maana hakuna cha maana alichofanya

Barabara zote mbovu sijawai kuona tokea apewe ubunge hajafanya kitu
Muleba, Nshamba na Rubya Barabara mbovu cjawai kuona

Mama alikuwa amato ahadi ya kutengeneza barabara ya Muleba-nshamba to RUbya then kuelekea buganguzi
lakini alipokuja Juzi akaulizwa ilo swali alikana na kusema sijawai kuahidi hiyo barabara

Mama anaisha DAr anaongoza jimbo kwa REMOTE
 
uzalendo namna hii tutafika, mambo yanabadilika na mwisho mtanzania atakombolewa tu , Big up , kwa wanasiasa wazalendo ,
 
Pongezi sana kwao hapo wameonyesha wapo hapo kwa ajili ya wananchi naunga mkono.
 
Pale kuna mbunge wa Muleba kasikazini Mr Chaarles Mwijage nashangaa kwanini yuko CCM. Yeye alikataa boti waloleta kiufisadi mbele ya waziri. Mkuu wa wilaya anakula sahani moja na mkurugenzi kuleta ufasadi ndani ya Muleba. Kinachosikitisha zaidi ni suala la ubabae na unyama unaofanywa na wahamiji dhalimu toka rwanda. Huyo mkurugenzi na mkuu wa wilaya wanajua kila kitu lkn hakuna hatua zozote. Madiwani wakisema wanakuwa na wkt mgumu. Cjui Tibaijuka atakuja na sera gani next tym. Lbd aibe kura vinginevo ?
 
Sasa wakati umefika kwa wanamuleba tunaoishi nje ya Muleba kwa sababu za kulijenga Taifa, tuanze mchakato wa kuikomboa muleba yetu hasa kwa vijana kuanza kuchukua nafasi za uongozi 2015 tupate kijana nje ya magamba atuwakilishe bungeni CHADEMA ni wakati wake
 
Kuna wahaya wako DAR wameanzisha movement ya kujua ni kwanini wahaya hawavumi kielimu miaka ya karibuni, nawashauri warudi nyumbani sababu tiba imeishapatikana sasa.
 
TUMEWAONA na tumedhihirisha kuwa MMEONEKANA. Kazeni uzi nchi hii inataka watu kama nyie kuikomboa, tulipofikishwa si pazuri tena. Wananchi wanakosa huduma muhimu, viongozi wanarandaranda hovyo nchi za watu bila huruma ya fedha zinazotumika.
 
kweli madiwan wameonesha njia na mfano bora sana, huyu mama Tibaijuka alikurupuka sana kisa mtandao wa kumtoa Masilingi kitu ambacho kilifanikiwa, alikuwa hajajipanga kwa lolote kabisa. si tuliokuwepo tuliona namna pesa zilivyotembea na kufanikisha hata kutopata mgombea mweza, alivyo wahonga mwenyekiti wa wilaya ya na wengine ili DK Slaa asitue hapo uwanja wa Nshamba Tapa na Helkopta akatua Busanda akidhan ni Nshamba. mengi yalifanyika sana yan. matokeo tumeanza kuyaona.
 
Muleba wameonesha njia, ambayo kila mara watz, waliikosea ndo tukawa fukara ile hali nchi ni tajiri. Bravoooooooooo
kweli mkuu, niliangalia itv na inatia moyo. mbegu za mabadiliko zinaanza kuota na muda sio mrefu zitatoa matunda maana hiyo wilaya siku za nyuma hakuna mtu aliweza kujua ni nini kilikuwa kikiendelea huko halmashauri na ukichukulia geografia ya mji jinsi ilivyo. Kilichotokea hapo awali ni 'mamilionea' kutokea huko lakini kwa hili nililoliona jana huenda heshima ya wilaya hiyo ikarejea.

 
Nilifurahi sana jinsi madiwani wa Halmashauri ya Wilaya ya Muleba walisvyoshikamana kuipinga bajeti iliyowasilishwa na Mkurugenzi wa Wilaya. Walidai hawaipitishi kwa sababu kiasi kikubwa kimetengwa kwa ajili ya matumizi ya ofisi ambayo yanawanufaisha watendaji wa halmashauri; na kiasi kidogo ndicho kilitengwa kwa ajili ya maendeleo.

Mama (Mkurugenzi) alimwaga chozi na kuamuru watendaji wa halmashauri watoke nje.

Itapendeza kama madiwani wengine wataiga mfano huu mzuri.

Source: ITV
Hawa wanafiki tu. Walipitisha tena kwa kumuomba radhi ded!
 
mwanzoni nilidhani wana muleba wote wameamia ccm! kumbe mpo? cha msingi tushikamane kuwatoa wabunge hawa wamechoka sana. diwani wa kamachumu nasikia ni kibaraka katusaliti tuliyomtuma. Mwijage ni suala la muda tu harudi tena.
 
mimi nashanga bukoba ni mkoa ambao unongoza kwa wasomi lakin hawajitambui sijui kwanin labda kwenye jimbo la ndasa inamaana hata oparation sangara haikueleweka tuonyesheni njia mlio elimika mnashindwa hata na mara au ndio wasomi waoga mnaelimu hamjui kuitumia
 
Namkubali jembe Kaganda wa kata ya Ngenge(Chadema) maana anawatetea wananchi wake vilivyo. Hawa wananchi wamenyanyaswa sana na wahamiaji haramu kutoka Rwanda na kuwanyang'anya ardhi yao lakini tangu huyu jamaa aingie madarakani vitendo hivi vimepungua
 
Kamanda Tibaigana anajiandaa kuvaa gwanda huko Muleba! Hebu kwanza tusikie ataamuaje rufaa ya Yanga leo!
 
kabisa mbunge inabd akazane hasa barabara rubya nshmba muleba
 
Kamanda Tibaigana anajiandaa kuvaa gwanda huko Muleba! Hebu kwanza tusikie ataamuaje rufaa ya Yanga leo!
hata bila rufaa, we unamuonaje huyu bwana na uwezo wa kutatua matatizo yaliyopo! ...tujifunze kupitia njia tunazozijua hata kama ni ndefu kwa kuonekana badala ya 'short cuts' tusizozijua mkuu

 
Tibaig ni muoga kuvua gamba, Nilishasema huyu Mama hatufai kabisa wakabisha sasa leo ona mwenyewe.
 
Back
Top Bottom