Heko CRDB BANK kwa Ubunifu huu!

Heko CRDB BANK kwa Ubunifu huu!

Ni kweli.Mimi sasa hivi ni mara chache sana naingia Benki labda iwe ni shida ya lazima. Mimi mara nyingi natumia SimBanking kutatua matatizo yangu ya kifedha. Nikitaka fedha taslimu natoa fedha kwenye SimBanking yangu na kuweka kwenye Namba ya Mpesa yangu na kwenda kutoa hela zangu kwa wakala, Vile vile nikiwa na fedha taslimu nataka kuweka kwenye akaunti yangu ya CRDB ninaenda kwa wakala wa Mpesa ananiwekea fedha kwenye namba yangu ya Mpesa na baadaye nazihamisha kupeleka kwenye akaunti yangu ya CRDB. Hakuna haja kutembea na fedha nyingi taslimu siku hizi jaribu kutumia simBanking.
 
Tatizo la kulipa kwa kichanja ni makato makubwa kama mtoa huduma hana pos ya crdb utakatwa 3800 kama gharama za interbank

Utakuwa safe ukitumia kadi kwenye pos ya bank husika tofauti na hapo maumivu tu
Watanzania wengi wana umbumbumbu mkubwa kwenye cost of money na hata statement y mwezi hawachukui, ukichukua statement yako hizo kadi utatupa
 
Tatizo la kulipa kwa kichanja ni makato makubwa kama mtoa huduma hana pos ya crdb utakatwa 3800 kama gharama za interbank

Utakuwa safe ukitumia kadi kwenye pos ya bank husika tofauti na hapo maumivu tu
Ndo upumbavu Wa bongo it should be free
 
banking industry ina miaka 50.. ila telecom industry ina miaka less than 20.. ila telecom inamabadiliko mengi ya haraka than banking.
hizo lipa kwa digitally.. airtelmoney, tigo pesa , m pesa wameweka hizo huduma 2 yrs ago.. sehemu nyingi sana madukani kuna lipa kwa tigo pesa.

crdb wanajitahiji sana.. ila waongeze spidi kama kampuni za simu
These entities should work together ila shida wasomi wabongo ni mungu watu kila MTU anajiona ni mkuu
 
banking industry ina miaka 50.. ila telecom industry ina miaka less than 20.. ila telecom inamabadiliko mengi ya haraka than banking.
hizo lipa kwa digitally.. airtelmoney, tigo pesa , m pesa wameweka hizo huduma 2 yrs ago.. sehemu nyingi sana madukani kuna lipa kwa tigo pesa.

crdb wanajitahiji sana.. ila waongeze spidi kama kampuni za simu

Sio NSSF wako kizamaaani. Sasa wameajiri graduates wengi lakini utendaji wao wa kazi ka la saba7 vile. Ovyoooo
 
Sina hamu na Crdb tena,
Licha ya kuwa mteja wao kwa miaka 10, nitajiondoa kwenye benki yao,
Sooooon
*HEKO BENKI YA CRDB KWA UBUNIFU HUU*

*Kukua kwa teknolojia kumeleta mabadiliko mengi chanya yanayopelelea maendeleo katika jamii zetu. Nakumbuka nikiwa mdogo mama alipokuwa akitaka kwenda benki alikuwa akituagiza tumletee kitabu chake cha benki, vilikuwa kinatunzwa sana ni mara chache utakuta watu wakitembea navyo tofauti na Tembocard ambazo zimekuwa ni sehemu za wallet na maisha yetu ya kila siku. Ni muongo sasa umepita, maendeleo ya kiteknolojia yanaendelea kuchagiza maendeleo ya kiuchumi na kurahisiha maisha yetu. Leo katika harakati zangu za ujenzi wa taifa nimekatiza mitaa flani kupata huduma wakati nikifikiria sina pesa za kulipa katika wallet, nikaona bango la "Scan Lipa Sepa na SimBanking Visa," nitoe heko kwa Benki ya CRDB kwa kuendelea kuwa kinara wa ubunifu kwa huduma na bidhaa, huduma kama hii ya SimBanking Visa itasaidia kwa kiasi kikubwa kupunguza foleni katika kufanya malipo na hivyo wateja kutumia muda mchache kupata huduma. Binafsi ninajivunia sana kuona benki hii ya kizalendo ikiendelea kuwa kinara kwa ubunifu.*

*Hongereni sana Benki ya CRDB*
 
CRDB inaonekana benki nzuri ila sio rafiki! They will never leave your money at rest kabisa,,,wana charges nyingi sana kiasi cha kwamba unaweza weka million ukaiacha after 3 months ukakuta bonge la gap! Hela yako ikiwa katika mikono yao ni kukatwa tu yani mpaka sasa naona bora ku save kwenye vibubu vya Airtel money au Halopesa!
 
CRDB inaonekana benki nzuri ila sio rafiki! They will never leave your money at rest kabisa,,,wana charges nyingi sana kiasi cha kwamba unaweza weka million ukaiacha after 3 months ukakuta bonge la gap! Hela yako ikiwa katika mikono yao ni kukatwa tu yani mpaka sasa naona bora ku save kwenye vibubu vya Airtel money au Halopesa!
Uko sahihi sana chief,
Nimeamua kuwahama!
Nitaondosha amana zangu zote kwenye bank yao.
Wana kitengo cha mikopo pale Lumumba branch mkabala na manazi mmoja, Huduma zao hovyo kabisa.
Wanasumbua wateja mpaka wiki 4 wakati baadhi ya matawi kama waterfront yako active sana.
 
Uko sahihi sana chief,
Nimeamua kuwahama!
Nitaondosha amana zangu zote kwenye bank yao.
Wana kitengo cha mikopo pale Lumumba branch mkabala na manazi mmoja, Huduma zao hovyo kabisa.
Wanasumbua wateja mpaka wiki 4 wakati baadhi ya matawi kama waterfront yako active sana.
Lumumba ilikuwa enzi za Jakaya zile sahivi pa hovyo sana!
 
Jamaa hawa wako vizuri sn ingawa mimi si mteja wao.juzi walikuwa karatu ukifungua akaunti unapewa seti ya vyombo.mimi niko nmb dah ni kimbembe mzee .tulifungua akaunti baada miezi tukaenda kuangalia faida kumbe wamekomba krb nusu ya hela zetu ikiwa ni malipo ya kututunzia. mimi sina hamu na NMB.
 
Back
Top Bottom