Kichuchunge
JF-Expert Member
- Dec 2, 2020
- 425
- 1,027
Klabu ya Rs Berkane tayari imeshafanya maandalizi ya sehemu ya kufikia ( Hotel ) huko Zanzibar mapema tu siku chache nyuma ikiwa ni sehemu ya maandalizi kuelekea mchezo wa marudiano fainali kombe la shirikisho dhidi ya Simba, jambo la kushangaza ni kwamba Berkane walishajua ni wapi fainali ya mkondo wa pili itafanyika wakati Simba wao waliamini Benjamin Mkapa Stadium ndipo utakapochezeka mchezo huo.
Madai ya CAF ni kuwa uwanja bado haujakidhi vigezo kutokana na ukaguzi uliofanywa na CAF mara kwa mara hivyo fainali itachezwa visiwani Zanzibar may 27 licha ya wasimamizi wa uwanja wa Benjamini Mkapa kutoa ripoti kuwa uwanja umeshafanyiwa marekebisho na unafaa kwa matumizi ya mchezo wa fainali Simba atakapokuwa nyumbani Tanzania.
Nani alaumiwe? CAF au wasimamizi wa uwanja wa Benjamini Mkapa? Ikumbukwe Simba sehemu pekee anayopata matokeo mazuri zaidi ni Benjamin Mkapa saa itakuwaje???
Madai ya CAF ni kuwa uwanja bado haujakidhi vigezo kutokana na ukaguzi uliofanywa na CAF mara kwa mara hivyo fainali itachezwa visiwani Zanzibar may 27 licha ya wasimamizi wa uwanja wa Benjamini Mkapa kutoa ripoti kuwa uwanja umeshafanyiwa marekebisho na unafaa kwa matumizi ya mchezo wa fainali Simba atakapokuwa nyumbani Tanzania.
Nani alaumiwe? CAF au wasimamizi wa uwanja wa Benjamini Mkapa? Ikumbukwe Simba sehemu pekee anayopata matokeo mazuri zaidi ni Benjamin Mkapa saa itakuwaje???