Jacobus
JF-Expert Member
- Mar 29, 2011
- 4,708
- 1,733
Nimesikia leo TBC Taifa mama mmoja wa Kihehe akisema kuwa mwanamke wa kabila hilo hutahiriwa, nikashikwa na butwaa maana mie natambua tu shughuri hii hufanywa na Waarabu, Wachaga, Wapare, Wagogo, Wamang'ati, Wamaasai, Wanyiramba, Wataturu, Waarusha na vikabila vdogovidogo katikati ya nchi yetu. Sasa hili la Wahehe limenisitua kidogo.
Nawaomba JF watengeneze FORUM itakayo husu mila na tamaduni.
Nawaomba JF watengeneze FORUM itakayo husu mila na tamaduni.