Hedhi huchukua cku ngap?

Hedhi huchukua cku ngap?

Big People

Member
Joined
Jan 3, 2014
Posts
8
Reaction score
0
Habari zenu wana jf? naomba kuuliza,ni cku ngapi na zipi ambazo mwamnamke akfanya ngono zembe hawezi pata mimba?
 
Ref; Biology O level.
Shule kwanza.
 
Habari zenu wana jf? naomba kuuliza,ni cku ngapi na zipi ambazo mwamnamke akfanya ngono zembe hawezi pata mimba?

BIG PEOPLE hedhi ni siku 30 kama wewe ni mrefu kama ni mfupi siku 28,inategemea pia kama wewe ni mweupe ama mweusi.
 
Habari zenu wana jf? naomba kuuliza,ni cku ngapi na zipi ambazo mwamnamke akfanya ngono zembe hawezi pata mimba?

Ulichoandika hapa na Kichwa cha Habari Ni Kama Matapishi na Uharo!!!!!!!!!!!!!!!!
 
Hilo suala nenda kilaza kama wewe nenda ww.google.com/ask ili wakueleze ulichouliza ni sawa na mwanamke akuulize mwanaume anatahiriwa akiwa na umri gani!

Habari zenu wana jf? naomba kuuliza,ni cku ngapi na zipi ambazo mwamnamke akfanya ngono zembe hawezi pata mimba?
 
hawa watoto wa shule siku hizi wamejazana na hawajui maan aya jf
wanafikiri hapa ni fesibuku
biology 3 utapata huko
 
Ngoja nipite kimya kimya tu, sina uhakika na mental health yako!
 
Back
Top Bottom