DuaZaMama
JF-Expert Member
- Jun 2, 2025
- 1,882
- 4,129
" Watu hawana maji Dar miaka 64 baada ya uhuru, Taifa la tatu kuwa na vyanzo vingi vya maji ni vizuri tukawaambia hawa watu kuwa watanzania si wajinga watanzania wanajua nyie ndio mmeingiza taifa kwenye matatizo haya kwa kuteka watu na kuiba rasilimali za nchi, kuiba uchaguzi na kuumiza watu" Makamu mwenyekiti CHADEMA Mhe. Heche John

