Elias Msuya
Senior Member
- Dec 23, 2011
- 173
- 673
Makamu Mwenyekiti wa Chadema, John Heche amewataka waandishi wa habari kutoendelea kumuuliza kuhusu aliyekuwa Mwenyekiti wa chama hicho, Freeman Mbowe, akiwataka kumtafuta na kumuuliza maswali mwenyewe.
"Alituaga kwa mazungumzo, anataka apumzike kwa muda kwenye active politics na atarudi. Kwa Katiba yetu, yeye ni Mjumbe wa Kamati Kuu ya kudumu. Sasa, kwanini hazungumzi? Kwanini waandishi wa habari hamfanyi kazi yenu? Muulizeni nyie! Yeye ni mwasisi wa hiki chama — hiki ni mtoto wake, kwanini husemi wakati chama kinashambuliwa? Mtafuteni nyie, si mimi nimsemee."
Ameyasema hayo leo Julai 25 katika mahojiano na Radio Mjini FM:
Soma pia: Heche: Tunaheshimu uamuzi wa mBowe kukaa kimya
"Alituaga kwa mazungumzo, anataka apumzike kwa muda kwenye active politics na atarudi. Kwa Katiba yetu, yeye ni Mjumbe wa Kamati Kuu ya kudumu. Sasa, kwanini hazungumzi? Kwanini waandishi wa habari hamfanyi kazi yenu? Muulizeni nyie! Yeye ni mwasisi wa hiki chama — hiki ni mtoto wake, kwanini husemi wakati chama kinashambuliwa? Mtafuteni nyie, si mimi nimsemee."
Ameyasema hayo leo Julai 25 katika mahojiano na Radio Mjini FM:
Soma pia: Heche: Tunaheshimu uamuzi wa mBowe kukaa kimya