GE2025 Heche: Kenya ni Nchi kiongozi kwa Demokrasia na mahakama huru

GE2025 Heche: Kenya ni Nchi kiongozi kwa Demokrasia na mahakama huru

Matukio, Taarifa, Habari na Mijadala ya Wananchi WAKATI wa Mchakato wa Uchaguzi Mkuu 2025

DuaZaMama

JF-Expert Member
Joined
Jun 2, 2025
Posts
1,882
Reaction score
4,129
Makamu mwenyekiti wa CHADEMA John Heche amesema kuwa Kenya ni miongoni mwa mataifa yenye demokrasia nzuri na mahakama huru akieleza kuwa nchi hiyo haipo tena kwenye vita ya kuteka na kuua raia bali wapo kwenye vita ya kiuchumi.

Ameyasema hayo leo Septemba 19,2025 wakati akizungumza kwa njia ya mtandao na Chama cha Safina nchini Kenya kuhusu mambo mbalimbali yanayoendelea nchini na huku chama hicho kikiadhimisha na kusherehekea miaka 30 yakuanzishwa kwake.
 
Makamu mwenyekiti wa CHADEMA John Heche amesema kuwa Kenya ni miongoni mwa mataifa yenye demokrasia nzuri na mahakama huru akieleza kuwa nchi hiyo haipo tena kwenye vita ya kuteka na kuua raia bali wapo kwenye vita ya kiuchumi.

Ameyasema hayo leo Septemba 19,2025 wakati akizungumza kwa njia ya mtandao na Chama cha Safina nchini Kenya kuhusu mambo mbalimbali yanayoendelea nchini na huku chama hicho kikiadhimisha na kusherehekea miaka 30 yakuanzishwa kwake.
Wakenya wakimaliza tatizo lao la ukabila watatuacha mbali sana!
 
Majirani zetu Kenya, Malawi na Zambia, wametuacha mbali sana katika demokrasia, uhuru wa maoni na kuheshimu haki za binadamu.

Kwa sasa, kwa nchi zote za SADEC, nchi zilizo hovyo kabisa kwa demokrasia na haki za binadamu, ni Tanzania na Rwanda. Hizi nchi mbili ukimkosoa tu mtawala, maisha yako yapo hatarini. Lakini angalao kwa Rwanda, udikteta japo upo lakini watawala wapo kwa madlahi ya nchi yao. Tanzania ni kwa maslahi ya waarabu.
 
Back
Top Bottom