Heche azomewa na wapiga kura wake jukwaani

Heche azomewa na wapiga kura wake jukwaani

hugochavez

JF-Expert Member
Joined
Mar 1, 2013
Posts
1,907
Reaction score
1,009
Mbunge wa Tarime vijijini Johni heche amezomewa akiwa anahutubia wananchi huko nyamongo wilayani Tarime, amezomewa na wananchi katika mkutano wa Hadhara uliofanyika viwanja vya Nyamongo wilayani Tarime mkoani Mara.

Hii ni salam na alama ya kukataliwa kutokana na utendaji usioridhisha Wa Mbunge huyo kijana.
 
Mbunge wa Tarime vijijini Johni heche amezomewa akiwa anahutubia wananchi huko nyamongo wilayani Tarime,..amezomewa na wananchi katika mkutano wa Hadhara uliofanyika viwanja vya Nyamongo wilayani Tarime mkoani Mara. Hii ni salam na alama ya kukataliwa kutokana na utendaji usioridhisha Wa Mbunge huyo kijana.
Umemaliza? Subiri uteuzi
 
Back
Top Bottom