hugochavez
JF-Expert Member
- Mar 1, 2013
- 1,907
- 1,009
Mbunge wa Tarime vijijini Johni heche amezomewa akiwa anahutubia wananchi huko nyamongo wilayani Tarime, amezomewa na wananchi katika mkutano wa Hadhara uliofanyika viwanja vya Nyamongo wilayani Tarime mkoani Mara.
Hii ni salam na alama ya kukataliwa kutokana na utendaji usioridhisha Wa Mbunge huyo kijana.
Hii ni salam na alama ya kukataliwa kutokana na utendaji usioridhisha Wa Mbunge huyo kijana.