IKUNGURU IJIRU CHUKU
JF-Expert Member
- Feb 27, 2021
- 484
- 541
Hapo zamani za kale katika nchi ya Uyahud alitokea Jamaa aliyekemea maovu na ushenzi bila kujali nani kaufanya! Alihubiri kwa ukali bila kubembeleza. Namzungumzia Yohana Mbatizaji a.k.a Sauti ya Nyikani, Muandaa Mapito ya Bwana.
Yohana aliposikia Mfalme Herode anachepuka na mke wa mtu alimchana hadharani aache mambo ya hovyo. Halafu mchepuko wenyewe ni mke wa kaka yake Filipo! Loh! Shemeji mtu kitandani! Kweli Hainaga Ushemeji Wanakulaga aliimba Man Fongo Muuza Mitumba!
Wakenya wanakwaambia ama kweli fisi iko all over!
Yohana aliposikia Mfalme Herode anachepuka na mke wa mtu alimchana hadharani aache mambo ya hovyo. Halafu mchepuko wenyewe ni mke wa kaka yake Filipo! Loh! Shemeji mtu kitandani! Kweli Hainaga Ushemeji Wanakulaga aliimba Man Fongo Muuza Mitumba!
Wakenya wanakwaambia ama kweli fisi iko all over!