Hebu Tubadilishe Maisha ya Watanzania

mboje

Member
Oct 11, 2007
10
0
Wakati wa kulia na kudai eti hakuna ajira Tanzania, inafika mwisho sasa.
Vijana kwa wazee wale wote wanaotaka kuondokana na hali ngumu ya maisha inayopanda kila siku, wanatakiwa kutambua kuwa mabadiliko ya kweli yapo mikononi mwao wakiamua.

Kuna biashara nyingi zinazoweza kuwatoa katika hali ya umasikini, lakini biashara iliyonzuri na inayohitaji mtaji mdogo tu, lakini you actualy suppose to be informed about the company and the products is there to transform the life of Tanzanian wherever they are!!!!!!

Inaweza kuonekana kama kitu kigumu sana, but trust me guys inawezekana kinachohitajika ni uamuzi wa dhati wa kuondokana na umasikini, na utaondoka!!!

Biashara hii ni ya mtandao, siyo upatu ule watu waliozoea ila ni biashara serious na imeshazalisha mamilionea duniani. Ni biashara ambayo inaweza kubadilisha maisha ya Watanzania wengi, kwa kipindi kifupi tu, endapo watkuwa tayari kuifanya, haswa inavyotakiwa. Ni biashara ambayo watalaam wa biashara duniani wameweza kuitafsiri kama biashara pekee mtu anaweza kuifanya kwa urahisi, lakini professionally. You dont need an college degree to be qualify on this business, is just your integrity will make the difference in you.
Take this not from Kiosaki book Retire Young, Retire Reach:-
And I believe on this concept:-

"If you want to be rich, you must build networks and link your networks with other networks. The reason it is easy to be rich through networks is because it is easy to be generous through networks. On the other side, people who act alone or as individuals limit their chances for economic success. He went on to say, "Networks are people, businesses, or organizations that you are generous with because you support them and they support you. Networks are powerful forms of leverage. If you want to be rich , build a network and network with other networks"

Sasa basi biashara ya mtandao hasa zile zianzoshabihiana na afya is the only one business which will be transform the individials life after been networking themselves with others.
For more information about this you can visit this blog Afya & Utajiri

Karibuni tufurahie pamoja maisha haya ambayo yanawezekana bila kutumia muda wako mwing, kufikiria kuhjusu ajira kila kukicha, kwa walio madarakani kufikiria juu ya rushwa na mambo kama hayo

Gooood luck all and wish you all the precious time on your Christmass & the Success Year 2009.
 
Biashara yenyewe ni kujiunga na mtandao kwa kutumia mwenyewe na kuwambia wenzako nao kuhusu matumizi ya hizo bidhaa....

Biadhaa za kusaudia afya na kuufanya mwili uwe na kinga za kiasili ambazo hatuwezi kuzipata siku hizi katika milo yetu ya kila siku.
 
Back
Top Bottom