Mjanga
JF-Expert Member
- Feb 13, 2011
- 1,238
- 324
Kwanza kijana wa ukweli unapaswa kuwa nao kadhaa...
jaribu uone, wataanza kukukaba wenyewe! Mmoja tu..alafu anakuzingua,
unamwaga then unakamata KIBURUDISHO kingine!
unless you are a beginner in that trade!
hapo tu hujachora moja..unateseka, ungekuwa tayari ingekuwaje?
jaribu uone, wataanza kukukaba wenyewe! Mmoja tu..alafu anakuzingua,
unamwaga then unakamata KIBURUDISHO kingine!
unless you are a beginner in that trade!
hapo tu hujachora moja..unateseka, ungekuwa tayari ingekuwaje?
cpo serious kvp mkuu heb fafanua kdogo mkuu il nijijue ka vp npate elmu juu ya huo ushaur wako