Pole na majukumu ndugu mwanaJF, natumaini ulitimiza wajibu wako wa kujenga taifa ipasavyo. Nimekumbuka enzi hizo ktk kupita vidato mbalimbali mpaka chuo kulikua na mitindo flanflan ya kupiga msuli (kusoma).
1. Msuli bed. Hukawii kupitiliza usingizini. Styl hii inafaa kwa masomo ya ungwini.
2. Msuli zima moto. Kusoma kufa na kupona inapokaribia mitihani/test.
3. Msuli triangle. Library [kusoma], Canteem [kula], bwenini [kulala]
4. Msuli sina ndugu. Unajisomea kivyakovyako. Possibility ya kufaulu hapa ni kubwa kwa ma'genious' tu.
5. Msuli sifa. Unabeba madesa/vitabu kibao kila mahali, ful kuuza sura..
6. Msuli kombi (O'level). Unasoma zaidi masomo ya kombi.
7. Msuli discusion. Huna tabia ya kujisomea mwenyewe. Kila group discusion wewe unavamia.
8. Msuli library. Husomei sehemu nyingine tofauti na maktaba.
9. Msuli kufwata mkumbo. Unajifanya kusomea library, ukifika unaanza kupiga magoli ya kichwa (kusinzia).
10. Msuli wa kusolve past pepa. Hii hufanyika zaidi kwa discusion
11.....
12.....n.k.
Naamin kati ya hizo styl, kuna mojawapo (au nyingine ambayo sijaitaja) uliitumia ndio maana ukafaulu.
Kama ni hivyo, ungemshauri mwanao, ndugu yako au rafiki yako atumie styl gan ili afaulu kama wewe?
....
....
SI unit
....
ALAMSIKI
1. Msuli bed. Hukawii kupitiliza usingizini. Styl hii inafaa kwa masomo ya ungwini.
2. Msuli zima moto. Kusoma kufa na kupona inapokaribia mitihani/test.
3. Msuli triangle. Library [kusoma], Canteem [kula], bwenini [kulala]
4. Msuli sina ndugu. Unajisomea kivyakovyako. Possibility ya kufaulu hapa ni kubwa kwa ma'genious' tu.
5. Msuli sifa. Unabeba madesa/vitabu kibao kila mahali, ful kuuza sura..
6. Msuli kombi (O'level). Unasoma zaidi masomo ya kombi.
7. Msuli discusion. Huna tabia ya kujisomea mwenyewe. Kila group discusion wewe unavamia.
8. Msuli library. Husomei sehemu nyingine tofauti na maktaba.
9. Msuli kufwata mkumbo. Unajifanya kusomea library, ukifika unaanza kupiga magoli ya kichwa (kusinzia).
10. Msuli wa kusolve past pepa. Hii hufanyika zaidi kwa discusion
11.....
12.....n.k.
Naamin kati ya hizo styl, kuna mojawapo (au nyingine ambayo sijaitaja) uliitumia ndio maana ukafaulu.
Kama ni hivyo, ungemshauri mwanao, ndugu yako au rafiki yako atumie styl gan ili afaulu kama wewe?
....
....
SI unit
....
ALAMSIKI