Hebu mshauri huyu mama

Duh!!!. Huyo mtt wa kiume ss amefanya vibaya. Kama ni shetani bs amemkamata. Inakuwaje anatembea na dada zake?. Huu ni utovu wa nidhamu na ukosefu wa maadili.
Kijana amefeli, ila pia na Dada zake hawa kuona hilo? Huenda dada zake ndo walimtega tusimlaumu tunhuyo kijana.
 
Nenda kwa doctor atakushauri, ila hiyo mimba haitakiwi kuendelea kukua.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…