Mtoboasiri
JF-Expert Member
- Aug 6, 2009
- 5,100
- 1,955
Mshitakiwa kafikishwa mahakamani akishtakiwa kushikwa ugoni.
Hakimu: Mshitakiwa, ni kweli ulilala na mwanamke huyu usiku wa jumatano tarehe 12 July?
Mshitakiwa: Hata lepe sikupata mheshimiwa!
Nipeni hukumu zenu mkiniambia basis ya hukumu zenu!
Hakimu: Mshitakiwa, ni kweli ulilala na mwanamke huyu usiku wa jumatano tarehe 12 July?
Mshitakiwa: Hata lepe sikupata mheshimiwa!
Nipeni hukumu zenu mkiniambia basis ya hukumu zenu!