Baba V
JF-Expert Member
- Dec 29, 2010
- 19,482
- 9,517
Nina bahati,nashuka tu ndo mama v naye anatoka kwenda church, kamlipa hela yake wa bajaj kaenda zake church, kanambia nikapate supu makirikiri afu nimuandalie maelezo ayakute tayari akitoka churchngoja nkupe mbinu... ila iwe siri yako!"!"
chukua cm yako fungua ringtone afu jidai unapokea... ongea kama ifuatavyo.... "mshkaji eeeh hivi ulisema safari hii tunamchuna ngozi mtu wa aina gani... mweupe, mweusi,mrefu au mfupi" afu unasubiri km 5sec ili kwamba mtu unaeongea nae akujibu.. akishakujibu... nawe una mjibu kwa kumpa sifa za yule mwendesha bajaji (fanya hivo ukiwa unakaribia home) tena unamwambia afu mtu mwenyewe ana bajaji tena bado mpya mpya.... NAKWAMBIA HAPO HAPO MWENYE BAJAJI ATAKUSHUSHA FASTAJEEEEER
Don't try it.........