Heartbroken No More!

Heartbroken No More!

Magnumpi

Member
Joined
Oct 4, 2019
Posts
68
Reaction score
172
Mambo zenu wakubwa shikamoo!

Kama mnakumbuka takribani miezi miwili mitatu nilikuja hapa na thread ya kulia lia sijui heartbroken sijui nini mambo kibao yaani. Aliesema time heals all wounds namtafuta nimnunulie hata peremende asee maana alikuwa very right.

Yaani mimi Magnum hata sikumbuki nilikuwa nalia nini. Inshort nimeshasogea mbele (move on) jamaa hanishtui tena. Appetite ya kuongea nae imekata. Kile kiherehere cha kumtafuta kimeisha. Yaani namshukuru Mungu si haba moyo wangu now upo mukide!

Nahisi nimekuwa mtu mpya kabisa

Kuna siku nilimpigia simu mshkaji tukaongea sana (closure) nilipomaliza nikaamua nimblock kabisa kwasababu ilikuwa nikiamua kuwa mute yeye ndo kama anawashwa, nikirudi ana mute tena. Nikaona huu upuuzi wa kiwango cha Mwamposa. Block yeye na marafiki zake wote.

Anyhow namtakia kila la kheri huko alipo, navyomjua now anachakata papuchi ya manzi mwingine. hawezi kukosa na alivyo romantic anahisi amepata hajui what's in store for her.

Valentine's inakuja sina valentine ila sio mbaya hata AIDS day sikuwa na AIDS. Maisha yanasonga.
 
Mapenzi ukiyaendekeza sana yanakufanya unakuwa mpuuzi cwezi kusahau tarehe 23mwez 3 mwaka 2019
Nilikuwa napitia mazito moyoni mwangu

Ila baada ya muda nilikataa kabisa kuendelea kuburuzwa na mapenzi nikaamua kuanza upya .....aise sasa hivi nimekuwa bonge hatari ni mtu wa movie na mimi


sent from toyota Allex
 
Mapenzi ukiyaendekeza sana yanakufanya unakuwa mpuuzi cwezi kusahau tarehe 23mwez 3 mwaka 2019
Nilikuwa napitia mazito moyoni mwangu

Ila baada ya muda nilikataa kabisa kuendelea kuburuzwa na mapenzi nikaamua kuanza upya .....aise sasa hivi nimekuwa bonge hatari ni mtu wa movie na mimi


sent from toyota Allex

Hongera! Life goes on
 
Mapenzi ukiyaendekeza sana yanakufanya unakuwa mpuuzi cwezi kusahau tarehe 23mwez 3 mwaka 2019
Nilikuwa napitia mazito moyoni mwangu

Ila baada ya muda nilikataa kabisa kuendelea kuburuzwa na mapenzi nikaamua kuanza upya .....aise sasa hivi nimekuwa bonge hatari ni mtu wa movie na mimi


sent from toyota Allex
Doh!! Pole sana, maaana mmh....
 
Amini nakwambia mpk sasa bado huja move on kama unavyojidanganya. Hebu tulia usahau mikunjo ya baharia
Yaan kumblock yeye na rafiki zake huo ni udhaifu mkubwa sana umeonyesha halafu wenzio wanakuchora tuu
Eti leo unaongea nao kesho unatembeza block 😂😂😂

Ma valentine wapo kibao wala huwezi kula kinyonge labda uwe hujui maana ya upendo
 
Amini nakwambia mpk sasa bado huja move on kama unavyojidanganya. Hebu tulia usahau mikunjo ya baharia
Yaan kumblock yeye na rafiki zake huo ni udhaifu mkubwa sana umeonyesha halafu wenzio wanakuchora tuu
Eti leo unaongea nao kesho unatembeza block 😂😂😂

Ma valentine wapo kibao wala huwezi kula kinyonge labda uwe hujui maana ya upendo

Somehow you may be right lkn u don't know me personally. Uliona nyuzi yangu ya heart broken? Trust me nikikwambia i have moved on. sawa moving on is not a destination it's a journey. Hapa nilipofikia I'm proud of myself. I used to cry everyday , i used to take antidepressants just to sleep,nikimpigia simu asipo pokea nachanganyikiwa; i used to show up kwake ili nimuone tu. Nimefanya mengi ya kijinga.

I still think about him yes coz you dnt forget a person in one day. Lakini I don't do the silly things i used to. Appetite imerudi. I can listen to our old songs n not cry. Hapa nilipo kama ni ugonjwa basi najaribia kua discharged

So my sister you have no right to say I haven't moved on. You don't know me like that!
 
And i officially declare you a no man's territory. Gentlemen, we got another fish to fry hehee! Hongera kwa kumove on bidada!
 
Bado hujamove on, maandishi yake yanaonyesha unamuwaza sana jamaa, bado una kale kamuwasho na ukikaa vibaya lazima ukunwe valentine day.
 
Amini nakwambia mpk sasa bado huja move on kama unavyojidanganya. Hebu tulia usahau mikunjo ya baharia
Yaan kumblock yeye na rafiki zake huo ni udhaifu mkubwa sana umeonyesha halafu wenzio wanakuchora tuu
Eti leo unaongea nao kesho unatembeza block 😂😂😂

Ma valentine wapo kibao wala huwezi kula kinyonge labda uwe hujui maana ya upendo
😅😅😅 kwamba atulie asahau mikunjo ya baharia sio????
 
Ukiona umeachana na mpenzi wako alafu umem block tambua kua bado hauja move on kisawasawa
.
Ila kumbuka ukibobea sana kwenye ku move on tambua kuwa umeshakua malllllya.

#Bagwell
 
Back
Top Bottom