Maagano ambayo yanaweza kututesa sana ijapo tunayafanya kila siku katika maisha yetu na tunaona ni poa (TUNAPASWA KUYAACHA HARAKA)
1. Kupgana denda (wet kiss romance), mnabadilishna mate, kile ni kiapo kibaya sana, hata mkiachana kimwili roho zenu huwa na mawasiliano katika "giza", na hapa ndoa mwanzo wa ndoa mpya kuharibika
2. kuchanjiana damu
-damu haifi, hunena, husafiri kwa kasi katika ulimwengu huu.
-makubaliano au maagano yoyote ya damu ni agano baya sana, ukiachana na mwenzako utakuwa katika maumivu makali yasiyopona
3. kubikiri mwanamke/binti na kumuacha nako huhangaisha sana pindi unapokutana na aliyebikriwa kwingne na hakuheshimu. maumivu ya kuachana na bikra wako wa kwanza lazma yakutese
4. kuzaa na kumuacha mliye zaa naye, hata angekuwa mbaya kama shetani, maumivu yake ni vigumu kuisha katika mtima wko. kumbuka ulibeba au alikupa damu yake.
KUEPUKA MAUMIVU. TUEPUKA MAAGANO AMBAYO HATUWEZI KUYATUNZA.