Kumbe doreen kanisave askofu? Daaah! Huyu mtoto atariNimemkuta rafiki yangu analia kama mtoto mdogo
chumbani kwake;
MIMI: Oya mshkaji vipi tena nani kafa?
MSHKAJI: Yaani Doreen kaniuwa, hivihivi bila kosa
kaniuwa
MIMI: Hebu tulia nambie ishu nzima
MSHKAJI: Si unajua nimekuwa namlipia Doreen ada
toka sekondari mpaka sasa yuko chuo nikijua ndio
niko peke yangu na nitamuoa?
MIMI: Ndio
MSHKAJI: Jana nikataka kuangalia kanisevu nini
kwenye simu yake
MIMI: Ok
MSHKAJI: Si kanisevu eti Mchungaji Peter 12
MIMI: Sasa tatizo liko wapi
MSHKAJI: Nilipoangalia majina mengine sinimekuta
kuna Pasta Maige, Pasta Jay wa misimo, Askof edwin,
na kuna Mchungaji Peter 1 mpaka mimi wa 12, wakati hata siku moja haendi kanisani wala maombi
MIMI: Dah endelea kulia mwanangu
JipangeMe more..
Leo nakuja kukupitia twenzetu tukapimane msuli road
Ulikuwa mnamsomesha kwani we mzazi au mlezi wake? Endelea kulia wananguNimemkuta rafiki yangu analia kama mtoto mdogo
chumbani kwake;
MIMI: Oya mshkaji vipi tena nani kafa?
MSHKAJI: Yaani Doreen kaniuwa, hivihivi bila kosa
kaniuwa
MIMI: Hebu tulia nambie ishu nzima
MSHKAJI: Si unajua nimekuwa namlipia Doreen ada
toka sekondari mpaka sasa yuko chuo nikijua ndio
niko peke yangu na nitamuoa?
MIMI: Ndio
MSHKAJI: Jana nikataka kuangalia kanisevu nini
kwenye simu yake
MIMI: Ok
MSHKAJI: Si kanisevu eti Mchungaji Peter 12
MIMI: Sasa tatizo liko wapi
MSHKAJI: Nilipoangalia majina mengine sinimekuta
kuna Pasta Maige, Pasta Jay wa misimo, Askof edwin,
na kuna Mchungaji Peter 1 mpaka mimi wa 12, wakati hata siku moja haendi kanisani wala maombi
MIMI: Dah endelea kulia mwanangu