zitto junior
JF-Expert Member
- Oct 7, 2013
- 19,066
- 28,712
Kwanini alimpa Mwanyika ubunge mtu ambaye alitangaza hadharani ni fisadi aliyetuletea hasara ya Trillion 400+??You nailed it " !!! Obviously alikuwa na mapungufu yake kama binaadamu lakini katika ufisadi hakuwa fisadi !!
Mtuambie kwanni hakuna mwizi wa Escrow aliyefungwa mpaka Leo hii??
Vipi wezi wa makinikia na Tanzanite??
Anyway alijenga ukuta ila wizi ukaongezeka maradufu!!! Kuna aliyewahi kamatwa mpaka leo??
Mie sionagi mnachomkuzia nacho JPM zaidi ya kwamba alikua mtu wa chuki tu kwa watu waliomzidi mafanikio. Ila kma kweli alipinga ufisadi Sabaya kivipi alibaki uraiani?