Hayambee....!!!!

Hayambee....!!!!

donlucchese

JF-Expert Member
Joined
Mar 23, 2011
Posts
17,258
Reaction score
22,129
mtori.jpg mtori1.jpg
 
niletee kijiko kwenye hiyoo.. ya pili nijichane mie....
 
Hatari sana December hiyoooooooooo! one way moja matata sana kibosho moja iyo wachaga mmmmmmmmpoooooooooo!
 
Kweli sijui...sitanii

Mtori ni kama uji unaotokana na ndizi da farkhina ambamo unachanganywa na nyama etc. Ni chakula kizuri sana kwa watoto, wagonjwa, wa mama wajawazito na hata kwa wale wanaotumia kilevi inasaidia kukata kilevi asubuhi!
 
Last edited by a moderator:
Mtori ni kama uji unaotokana na ndizi da farkhina ambamo unachanganywa na nyama etc. Ni chakula kizuri sana kwa watoto, wagonjwa, wa mama wajawazito na hata kwa wale wanaotumia kilevi inasaidia kukata kilevi asubuhi!



Watu kwa kweli tunadanganyana jamani. Mimi nasikiaga mtori kuwa ni tigo na mwanamme yeyote anayezoea kula mtori lazima anakuwa na tigo laini na pia anakuwa hana nguvu za kiume ndiyo maana nauwogopa hata kuuona.
 
Back
Top Bottom