Haya yatamkuta Polepole huko mbeleni

Haya yatamkuta Polepole huko mbeleni

Cheo cha kujitoa ufahamu! Nasubiri kwa hamu pale atakapoanza vitu vyake
 
Anayo kazi...mojawapo ikiwa ni hii ya kugawa vitenge kwa kina baba...!

kanga-ccm-jpg.446728


Humphrey nenda pole pole, dunia mdwara!​
 
Ngoja aanze unafiki wake ndipo utakapojua namna anakubali ikulu kuwa Lumumba

POle hata katika nafas za ukuu wa wilaya alikuwa kimya sana..kimya huwa kina mshindo..naimani kuna mambo hayakubari..siku zinakuja
 
Mwenye copy ya kadi ya ccm ya bwana Polepole tafadhali atuwekee hapa tukate kiu ya kutaka kujuwa huyu bwana alijiunga na ccm lini!
 
Anafaa kutokana na itikadi zake za kizarendo zarendo
 
una maana bora ya Nape?
nadhani inamlipa saiv kwa kazi nzuri ya kuchafua watu. Eti mchambuzi anaegemea upande mmoja na anamchambua lowasa tu mhm analysit wa wapi huyu kumbe katumwa nadhani posho imekuwa kubwa sana kuliko input yake vyeo ving mpaka vinagongana sijui aache kipi achukue kipi.
unafiki naona kumbe unalipa aise
 
Haya yote yanatokea kwa sababu ya udhaifu was upinzani.Hakuna wa kumpa kijiti cha kutupeleka mbele zaidi na ndiyo maana wananchi wanaendelea kuwa na imani na ....
.cha turin.
 
Uzeeni Pole Pole atakua anatolewa mifano n.a. vijana kwa kua kijana aliefanya unafiki n.a. usaka tonge wakati wa ujana wake.
OVER
Kama UKIKATIKA mkia ukarudi Zizini unaitwa "Mpachuka", UKISALITI msimamo wako kwa ajili ya cheo utaitwa POLEPOLE....
 
Ccm haiwezi kurudi kwenye misingi yake. Kama enzi za Nyerere ilishindwa usitegemee huo muujiza sasa hivi.
Chama kitaendelea kuwafuga mafisadi kama kawaida yake.
Hata pogba ni mpiga dili mzuri kama chui aliyejivisha ngozi ya kondoo
 
Back
Top Bottom