Haya yatamkuta Polepole huko mbeleni

Haya yatamkuta Polepole huko mbeleni

sirjohn

JF-Expert Member
Joined
Aug 6, 2014
Posts
767
Reaction score
679
Kwanza nakupa hongera kwa nafasi hiyo ya uitikadi na uenezi na pia nampa hongera na pongezi nyingi sana mwenyekiti kwa kazi kubwa aliyoifanya kumpata Pole Pole.

Wenye nia njema na wale waliotaka kuiona CCM inarudi katika misingi ya uwanzishaji wake basi watakuwa wana kubaliana na uteuzi huu wa Pole Pole..

Kabla ya katiba mpya binafsi nilikuwa simfahamu Mh Pole Pole, ila katiba mpya na kuelekea uchaguzi mkuu 2015 nilipata nafasi ya kmfahamu huyu katibu wa itikadi na uenezi wa chama..Pole Pole anaweza sanaa.

Katika teuzi zote uwaziri, URC, UDC nk. hapa mwenyekiti ameteu kweli kweli..

Bila shaka chama kitarudi katika mstari wake na hadhi na kusudio la kuanzishaa chama hiki..

ANGALIZO

Mh. Pole Pole anaweza asidumu au kumaliza muda wake katika nafasi hiyo kwa sababu ya itikadi na misimamo na hitaji lake kwa watanzania wote..

Huyu mh. anawataka watanzania bila kujali itikadi za vyama vyao lakini huyu aliyemteu ukimsoma vyema utagundua anawataka wanaCCM na siyo watanzania wote..hiki kitawagombanisha na kuwatenganisha vinginevyo hapa Pole Pole anatakiwa awe na akili zaidi ya kung'ota ili urafiki wao uweze kudumu..

IN SHORT hawa watu watashindwana mbeleni.

Wenye kunielewa wamenielewa.
 
Kuna uwezekano viongozi wengi wakaishia hapa... Hii ni kuanzia viongozi wa dini kama mzee wa upako aka mzee wa Bapa, Viongozi wa kisiasa kam raisi wa Syria, Putin etc... Viongozi wa Bongo msiwahusishe, wao ni watakatifu na watu waadilifu sana jamani... na tunaendelea kuwaombea wasifike hapa... Unajua kuongoza nchi masikini kuna changamoto nyingi mno kuliko kuendesha nchi tajiri kama Ujerumani...


Circle of Hell- artwork-690.jpg
 
Chama kitavutia vijana zaidi nape,halafu polepole, naona kujivua gamba kunakamilika.
 
Hivi mtu kuwa kiongozi kwenye chama na yeye anaitwa mheshimiwa!! Huyo ni ndugu Polepole inatosha
 
Uzeeni Pole Pole atakua anatolewa mifano n.a. vijana kwa kua kijana aliefanya unafiki n.a. usaka tonge wakati wa ujana wake.
OVER
 
Kwanza nakupa hongera kwa nafasi hiyo ya uitikadi na uenezi na pia nampa hongera na pongezi nyingi sana mwenyekiti kwa kazi kubwa aliyoifanya kumpata Pole Pole.

Wenye nia njema na wale waliotaka kuiona CCM inarudi katika misingi ya uwanzishaji wake basi watakuwa wana kubaliana na uteuzi huu wa Pole Pole..

Kabla ya katiba mpya binafsi nilikuwa simfahamu Mh Pole Pole, ila katiba mpya na kuelekea uchaguzi mkuu 2015 nilipata nafasi ya kmfahamu huyu katibu wa itikadi na uenezi wa chama..Pole Pole anaweza sanaa.

Katika teuzi zote uwaziri, URC, UDC nk. hapa mwenyekiti ameteu kweli kweli..

Bila shaka chama kitarudi katika mstari wake na hadhi na kusudio la kuanzishaa chama hiki..

ANGALIZO

Mh. Pole Pole anaweza asidumu au kumaliza muda wake katika nafasi hiyo kwa sababu ya itikadi na misimamo na hitaji lake kwa watanzania wote..

Huyu mh. anawataka watanzania bila kujali itikadi za vyama vyao lakini huyu aliyemteu ukimsoma vyema utagundua anawataka wanaCCM na siyo watanzania wote..hiki kitawagombanisha na kuwatenganisha vinginevyo hapa Pole Pole anatakiwa awe na akili zaidi ya kung'ota ili urafiki wao uweze kudumu..

IN SHORT hawa watu watashindwana mbeleni.

Wenye kunielewa wamenielewa.
yani nani hapo sasa anawapenda watanzania wote.........nisije nikachunguzwa ngoja nifunge moth yangu tu.
 
yani nani hapo sasa anawapenda watanzania wote.........nisije nikachunguzwa ngoja nifunge moth yangu tu.

Sidhani kama pole pole atakubali vikao vya chama vifanyike IKULU
 
Back
Top Bottom