PreGE2025 Haya yanayoendelea nchini kuelekea Uchaguzi Mkuu ni legacy ya hayati Magufuli, itoshe kusema ameharibu mifumo ya utawala bora

PreGE2025 Haya yanayoendelea nchini kuelekea Uchaguzi Mkuu ni legacy ya hayati Magufuli, itoshe kusema ameharibu mifumo ya utawala bora

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla)

Area 56

JF-Expert Member
Joined
Dec 8, 2015
Posts
1,546
Reaction score
4,040
Haya yanayoendelea nchini kuelekea Uchaguzi Mkuu 2025 ni legacy ya mwendazake Magufuli.

Huko chamani Rais Samia amejipitisha bila kupingwa kuwania Urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, wote tunajua muasisi wa mchezo wa kupita bila kupingwa ni John Magufuli.

Kesi za jinai kwa wapinzania hasa kesi ya Uhaini aliyopewa Tundu Lissu ni matokeo ya mifumo ya uonevu aliyoianzisha John Pombe na Samia ameamua kuiendeleza, maana yake legacy inaishi. Wote mnakumbuka jinsi akina Kabendera, Rugemalira na wengineo waalivyopewa kesi za uhujumu uchumi.

Akina Soka na wenzake kupotea, kuuwawa kwa Mzee Ali Kibao

Hali inayoendelea nchini ni muendelezo wa legacy ya John Pombe, yaani tupo kwenye Umagufuli bila Magufuli mwenyewe.

Itachukua miaka mingi sana kurudi tulipokuwepo wakati wa awamu ya nne na kurudi nyuma.
 
Haya yanayoendelea nchini kuelekea Uchaguzi Mkuu 2025 ni legacy ya mwendazake Magufuli.

Huko chamani Rais Samia amejipitisha bila kupingwa kuwania Urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, wote tunajua muasisi wa mchezo wa kupita bila kupingwa ni John Magufuli.

Kesi za jinai kwa wapinzania hasa kesi ya Uhaini aliyopewa Tundu Lissu ni matokeo ya mifumo ya uonevu aliyoianzisha John Pombe na Samia ameamua kuiendeleza, maana yake legacy inaishi. Wote mnakumbuka jinsi akina Kabendera, Rugemalira na wengineo waalivyopewa kesi za uhujumu uchumi.

Akina Soka na wenzake kupotea, kuuwawa kwa Mzee Ali Kibao ni muendelezo wa legacy ya John Pombe alivyokuwa anawapoteza akina Ben Saanane na wengineo.

Hali inayoendelea nchini ni muendelezo wa legacy ya John Pombe, yaani tupo kwenye Umagufuli bila Magufuli mwenyewe.

Itachukua miaka mingi sana kurudi tulipokuwepo wakati wa awamu ya nne na kurudi nyuma.
upotoshaji usio na athari zozote kisiasa, kijamii na kiuchumi kama huu, ni vizuri ukapuuzwa tu,

kwasababu ni useless na completely nonsense gentleman 🐒
 
upotoshaji usio na athari zozote kisiasa, kijamii na kiuchumi kama huu, ni vizuri ukapuuzwa tu,

kwasababu ni useless na completely nonsense gentleman 🐒
Kibao,Soka, gwanda,mbise,sativa,ben saanane...
Kuna uchunguz ulifanyika?
Unajua familia zao ziko kwenye hali gani?

Siku yakikutokea kwa nduguyo au mtu wako wa karibu utajua mtegemezi wako wa ukweli asiye na upande ni sheria na mifumo ya haki iliyohuru.

Sijajua umri wako ila naamini unafahamu maana ya Karma, ma kwa namna moja au nyingine imeshawahi kukutokea,kama bado...believe me its true,kila mtu atavuna anachopanda!

Usiwe na uchawa wa kutweza utu wa binadamu,watu wanapita!

Naona leo unasema kuhusu Askofu anayesisitiza haki,unamtaka asiseme, kuwa makini,huyo sio kada wa chama ni mtumishi wa Mungu!
 
Kibao,Soka, gwanda,mbise,sativa,ben saanane...
Kuna uchunguz ulifanyika?
Unajua familia zao ziko kwenye hali gani?

Siku yakikutokea kwa nduguyo au mtu wako wa karibu utajua mtegemezi wako wa ukweli asiye na upande ni sheria na mifumo ya haki iliyohuru.

Sijajua umri wako ila naamini unafahamu maana ya Karma, ma kwa namna moja au nyingine imeshawahi kukutokea,kama bado...believe me its true,kila mtu atavuna anachopanda!

Usiwe na uchawa wa kutweza utu wa binadamu,watu wanapita!

Naona leo unasema kuhusu Askofu anayesisitiza haki,unamtaka asiseme, kuwa makini,huyo sio kada wa chama ni mtumishi wa Mungu!
Gentleman,
miongoni mwetu akiaga dunia kwa namna yoyote ile, maisha ya wengine ni lazima yaendelee, hakuna kustack wala kusimama baada ya mazishi,

maombolezo huisha,
upotoshaji na kujaribu kung'ang'ana na kuchochea chuki na migawanyiko kwa mambo yaliyopita ni kusumbua wengine wanaosonga mbele gentleman 🐒
 
Haya yanayoendelea nchini kuelekea Uchaguzi Mkuu 2025 ni legacy ya mwendazake Magufuli.

Huko chamani Rais Samia amejipitisha bila kupingwa kuwania Urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, wote tunajua muasisi wa mchezo wa kupita bila kupingwa ni John Magufuli.

Kesi za jinai kwa wapinzania hasa kesi ya Uhaini aliyopewa Tundu Lissu ni matokeo ya mifumo ya uonevu aliyoianzisha John Pombe na Samia ameamua kuiendeleza, maana yake legacy inaishi. Wote mnakumbuka jinsi akina Kabendera, Rugemalira na wengineo waalivyopewa kesi za uhujumu uchumi.

Akina Soka na wenzake kupotea, kuuwawa kwa Mzee Ali Kibao

Hali inayoendelea nchini ni muendelezo wa legacy ya John Pombe, yaani tupo kwenye Umagufuli bila Magufuli mwenyewe.

Itachukua miaka mingi sana kurudi tulipokuwepo wakati wa awamu ya nne na kurudi nyuma.
Kwa sasa tunajadili kukamatwa kwa Lissu ww unakuja na Chuki dhidi ya Magufuli,He had gone four years ago,Why you need to implement a kind of stupidity hatred over him,
 
Tatizo wananchi kwanini hawataki kuipumzisha ccm.Miaka 60.
 
Yote umeandika kwa sababu ya LISSU na kesi yake. Hakuna serikali inayoweza kuvumilia mtu anayechochea uasi hadharani. Lissu kaongea hadharani kuwa yeye na wafuasi wake watafanya uasi siku ya uchaguzi. Ulitaka achekewe? Acha avune alichopanda. Huwezi kuchezea amani ya nchi halafu ukabembelezwa.
 
Nilijua tu lazima marais wengi wajao baada ya magufuri lazima wapite mule mule maana wameshajua watz ni makubwa jinga

Ebu fikiria sahv mzanzibar tena mwanamke katuna pale na anafanya lolote na watu wameufyata
 
Yote umeandika kwa sababu ya LISSU na kesi yake. Hakuna serikali inayoweza kuvumilia mtu anayechochea uasi hadharani. Lissu kaongea hadharani kuwa yeye na wafuasi wake watafanya uasi siku ya uchaguzi. Ulitaka achekewe? Acha avune alichopanda. Huwezi kuchezea amani ya nchi halafu ukabembelezwa.
Eti kuchezea amani!!! Kwa io ccm wanapofanya dhulma kwenye uchaguzi huwa hawavunji amani?
 
Haya yanayoendelea nchini kuelekea Uchaguzi Mkuu 2025 ni legacy ya mwendazake Magufuli.

Huko chamani Rais Samia amejipitisha bila kupingwa kuwania Urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, wote tunajua muasisi wa mchezo wa kupita bila kupingwa ni John Magufuli.

Kesi za jinai kwa wapinzania hasa kesi ya Uhaini aliyopewa Tundu Lissu ni matokeo ya mifumo ya uonevu aliyoianzisha John Pombe na Samia ameamua kuiendeleza, maana yake legacy inaishi. Wote mnakumbuka jinsi akina Kabendera, Rugemalira na wengineo waalivyopewa kesi za uhujumu uchumi.

Akina Soka na wenzake kupotea, kuuwawa kwa Mzee Ali Kibao

Hali inayoendelea nchini ni muendelezo wa legacy ya John Pombe, yaani tupo kwenye Umagufuli bila Magufuli mwenyewe.

Itachukua miaka mingi sana kurudi tulipokuwepo wakati wa awamu ya nne na kurudi nyuma.
Magufuli kaingiaje hapo. Pambana na chura kiziwi muache JPM apumzike
 
Haya yanayoendelea nchini kuelekea Uchaguzi Mkuu 2025 ni legacy ya mwendazake Magufuli.

Huko chamani Rais Samia amejipitisha bila kupingwa kuwania Urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, wote tunajua muasisi wa mchezo wa kupita bila kupingwa ni John Magufuli.

Kesi za jinai kwa wapinzania hasa kesi ya Uhaini aliyopewa Tundu Lissu ni matokeo ya mifumo ya uonevu aliyoianzisha John Pombe na Samia ameamua kuiendeleza, maana yake legacy inaishi. Wote mnakumbuka jinsi akina Kabendera, Rugemalira na wengineo waalivyopewa kesi za uhujumu uchumi.

Akina Soka na wenzake kupotea, kuuwawa kwa Mzee Ali Kibao

Hali inayoendelea nchini ni muendelezo wa legacy ya John Pombe, yaani tupo kwenye Umagufuli bila Magufuli mwenyewe.

Itachukua miaka mingi sana kurudi tulipokuwepo wakati wa awamu ya nne na kurudi nyuma.
Magifuli alimshitaki mpnzani yupi kwa kesi ya uhaini au ugaidi? Tusihamishe goli. Huenda mama ndio alikuwa akimshauri vibaya Magufuli.
 
Back
Top Bottom