Haya yanaumiza sana katika uchumba

Haya yanaumiza sana katika uchumba

Mi uchumba wa mujini bana siuelewi elewi! Sio kwamba nasema wenzangu, pia mwenyewe sijielewi!

Mambo mtu anakwambia muoane muanze wote kununua stuli, mkeka, godoro lisilo na jina, Mhhhhh! Ukifikiria huto afford gauni la WEDDING BELLS kwa Dada Dorin! Hamu yote ya harusi inakutokaaa!

^^
Ha ha haa @ Lara 1 Mtazamo wako siku zote ni wa pekee,,halafu hadithi zenyewe za harusi zinapigwa tarehe kama mahakamani.
^^
 
Duh! Hivyo kila kumfikiria mwengine ni upendo?

^^
Mashaxizo naongelea upendo ktk mazingira ya mapenzi yenye kukusudia jema.Unapomfikiria mwingine baadae unajitoa kwa ajili yake.Kwa mtazamo wangu kujifikiria mwenyewe tu ni aina fulani ya ubinafsi,sina maana usijipende bali ujipende na upendo unakamilika ukiwa zaidi ya mmoja
Ni mtazamo tu.
Cc Eiyer
^^
 
Last edited by a moderator:

Similar Discussions

Back
Top Bottom