Haya yanatuangusha Chadema


These guys are not serious.

Chama kina zaidi ya miaka 20 (ISHIRINI) tangu kianzishwe lakini swla muhimu kama kujipatia ofisi bado liko kwenye "hatua mablimbali za utekelezaji".

Hiki ndio chama kinachowalaghai wananchi kuwa kina uwezo wa kubadilisha hali ya maisha ya watanzania kwa miaka mitano, wakati chenyewe zaidi ya miaka 20 kimeshindwa hata kupata ofisi ya kujihifadhi.

Wajinga ndio waliwao...
 

Wewe kama mwanachama wa Chadema na pale uishipo umetoa mchango gani kwa chama?Ili usiwe ni kama wale wanaolialia kila siku na kukimbilia kwenye vyombo vya habari kama ulivyokurupuka leo hii hapa JF kumbuka hapa napo ni chombo cha habari tena International maake hapa tunapata habari hata kabla haijaenda kwa Tv au kwa Magazeti sasa basi kuliko kulalamika ni bora ukatimba kwa Ofisi yeyeto iliyo karibu nawe ya Chadema au ukamfuata mjumbe yeyeto wa Chadema na mkajadili masuala kama haya hapa then mwisho wa siku mkayafikisha kunakuhitajika,Kumbuka kuna magari mengi yapo na pikipiki nyingi tu zipo na nyingine zishaanza kusambazwa kwenye Kanda husika sasa Mkuu na Kamanda tuambia uko pande za wapi ili tukusaidie angalau kama ukipata wakati tuzunguke au tukupatie Pikipiki upige kazi yaani kwenda nyumba hadi nyumba kuwapa somo waTanzania,Pia kumbuka kuwa Chama hakina hela kiivyo kwa kuwa Chadema hatuna Rushwa kama wale wenzetu wanavyohongwa na wafanyibiashara wakubwa na kuuza wanyama wetu na kutumbukiza pesa kwa mfuko wa Ccm na kuanza kuwahonga watu.Kwa ufupi mkuu una maoni lakini fanya kivitendo kama nilivyokushauri hapo juu.Kuhusu Posho utapata pia na mshahara hilo litategemea.
 

nadhani sio kwa CDM peke yake bali kwa vyama vyote hasa magazeti. magazeti yaliyopo sio mali ya chama bali ama ni mali ya wanachma wa chama flan. magazeti haya hayana ripoti wala taarifa za kiuchunguzi bali huripoti matukio, mipasho, ushabiki na vituko kwenye medani za kisiasa nchini.

ipo haja sasa kwa Vyama kuwa na magazeti yanayoripoti yale yanayojiri ndani ya chama na utendaji wake wa kazi. mfano
a. Ratiba ya ziara za Viongovi wa Chama na madhumuni ya ziara husika, wapi, lini, na kwa muda gani ili jamii ijipange sambamba.
b. kujua uongozi wa mikoa, kanda na majimbo na anuani za ofisi husika kwa ajili ya mawasiliano.
c. Maeneo ambayo chaguzi ndogo zinafanyika (ambazo ni za muhimu sana), hii itapelekea kujua uhalisia wa chaguzi hizo na ushiriki kwa walengwa.
d. maeneo ambayo kuna upungufu wa utaalam au uongozi.
e. jinsi ya kufungua matawi, uongozi na majukumu.
n.k
taarifa hizi zingekuwa zinatolewa mara kwa mara labda after two week au mwezi sio mbaya.
 

Kama wewe ni mwanamke ni malaya.

Unajifanya mshauri wa CDM wakati unaiombea kifo.
 

Haya yote kwa uwezo upi wa kifedha?
 

Teh teh teh naona umekuwa msemaji wa Chadema hivi inakuwaje mtu unajibu maswali ambayo hayakuhusu?Kama si kiherehere ni nini sasa?Yaani nyie kila kukicha mnakuwa wasemaji wa Chadema ya kwenu yamewashinda kuwaelezea Watanzania yaliko maisha bora kama Mlivyowaahidi,Iko wapi Meli kubwa kupita ile ya MV BUkoba mliyoahidi,Iko wapi Reli kutoka Dar hadi Mwanza mabayo mliiahidi ukiacha hii nyembamba ya mkoloni hata mkipewa Treni bure kutoka Ulaya haiweze kufiti,Viko wapi viwanda Tanga ambavyo tuliambiwa Tanga itakuwa ya viwanda,ukiacha vile ambayo mliua,Ziko wapi Hospital saba ambazo tuliambiwa zitakuwa za Rufaa with full equipment,Sasa badala ya kujibu maswali yalioulizwa kwa Chadema hebu tuambie ahadi hizi chache ziko wapi na baada ya kujibu hata kwa 10% hapo nitakufikiria kiduchu kwamba unafahamu matatizo ya nchi yetu na si kulea Tumbo lako kiaina.
  1. Kujenga reli mpya kutoka Dar es Salaam mpaka mikoa ya Kanda ya ziwa - Nzega, Tabora
  2. Mkoa wa Tanga kuwa Jiji la Viwanda - Tanga mjini
  3. Tabora kutumia maji ya Ziwa Victoria - Igunga
  4. Kulipa madeni ya chama cha Ushirika mkoa wa Shinyanga (SHIRECU) - Shinyanga
  5. Kumaliza migogoro ya Ardhi nchini - Dodoma
  6. Wakulima kuacha kutumia jembe la mkono - Dodoma mjini
  7. Kuwapatia trekta wakulima - Kata ya Mrijo, Dodoma
  8. Wananchi kutoondolewa kwenye Ranchi ya Misenyi - Kagera
  9. Kujenga Uwanja wa Ndege Misenyi - Kagera
  10. Kupanua Uwanja wa Ndege Bukoba - Bukoba Mjini
  11. Kujenga uwanja wa ndege mkubwa Kigoma - Kigoma Mjini
  12. Mtukula kupatiwa umeme kutoka Uganda - Kagera
  13. Mikoa ya Kagera, Kigoma, Lindi, Rukwa na Ruvuma kuunganishwa katika gridi ya taifa ya umeme - Kagera
  14. Kuimarisha Takukuru kwa miaka mitatu - Kagera
  15. Hukumu kwa waliopatikana na hati ya kuua albino - Mbeya
  16. Kununua meli kubwa kuliko MV Bukoba - Kagera
  17. Kuanzisha benki ndogondogo kwa ajili ya wajasiriamali
  18. Serikali kuvisaidia vyama vya ushirika - Mwanza
  19. Kuimarisha usalama Ziwa Victoria na Ziwa Tanganyika kwa kupeleka kikosi maalum chenye vifaa kupambana na wahalifu - Mwanza
  20. Wilaya ya Geita kuwa hadhi ya mkoa Januari mwakani - Geita
  21. Kulinda muungano kwa nguvu zote - Pemba
  22. Kuwajengea nyumba waathirika wa mafuriko Kilosa - Morogoro
  23. Kununua meli mpya kubwa Ziwa Nyasa - Mbeya mjini
  24. Kujenga bandari Kasanga – Rukwa
  25. Kumaliza tatizo la walimu miaka mitano ijayo - Songea
  26. Kufufua mgodi wa makaa ya mawe Kiwira - Mbeya
  27. Kuzuia hatari ya kisiwa cha Pangani kuzama - Tanga
  28. Kununua bajaji 400 kwa ajili ya kubeba wajawazito hasa vijijini - Iringa
  29. Kujenga barabara yenye kiwango cha lami kutoka Same mpaka Kisiwani – Kihurio na kuiunganisha na barabara kuu ya Moshi - Dar es salaam - Same mkoani Kilimanjaro
  30. Kumaliza tatizo la maji katika wilaya ya Same - Same Mjini
  31. Kuboresha barabara za Igunga - Tabora
  32. Kusambaza walimu 16,000 katika shule za sekondari zenye upungufu makubwa wa walimu - Kisesa Magu
  33. Kununua vyandarua viwili kwa kila kaya - Mbeya Mjini
  34. Kuzipandisha hadhi hospitali maalumu saba nchini kuwa za rufaa ili kuipunguzia mzigo Hospitali ya Taifa ya Muhimbili (MHN) - Hydom Manyara
  35. Kulinda amani nchini kwa kuzuia chokochoko za kidini, kikabila na kisiasa - Musoma
  36. Kulinda haki za walemavu - Makete
  37. Kujenga baabara ya Njombe - Makete kwa kiwango cha lami,urefu wa kilomita 109 - Iringa mjini
  38. Kujenga barabara Musoma – Mto wa Mbu Arusha - Arusha
  39. Kuanzisha jimbo la Ulyankulu- Shinyanga Mjini
  40. Kujenga barabara ya lami Manyoni-Kigoma – Kaliua,Tabora
  41. Kukarabati barabara ya Arusha Moshi - Arusha Mjini
  42. Kuboresha barabara ya Handeni, Kondoa, mpaka Singida - Dodoma
  43. Kuwafidia wanakijiji ng'ombe waliopotea wakati wa ukame mwaka 2009 - Longido
  44. Vijiji vyote vilivyoko kilomita 15 kutoka kwenye bomba kuu la mradi mkuu wa maji wa Ziwa Victoria - Shinyanga-Kahama kuunganishiwa maji - Shinyanga
  45. Tatizo la umeme kufikia kikomo Novemba mwaka huu mkoani Arusha – Arusha mjini
  46. Kukopesha wavuvi zana za kilimo - Busekera, Wilaya ya Musoma
  47. Kuwapatia maji wakazi wa Wilaya ya Longido - Longido
  48. Kujenga barabara ya lami kupitia pembezoni mwa Hifadhi ya Taifa ya Seregenti – Ngorongoro
  49. Utekelezaji wa mpango wa maendeleo ya kilimo kuwasaidia wafugaji kuweza kupata na kutunza mifugo yao vizuri - Mbulu mkoani Manyara
  50. Kusambaza maji nchi nzima - Babati vijijini
  51. Kusambaza umeme, utoaji wa huduma za afya, na uboreshaji wa kilimo cha umwagiliaji na utoaji ruzuku kwa wakulima. mwaka 2010-2015 - Babati vijijini
  52. Kuongeza mara tatu idadi ya wananchi wanaonufaika na ruzuku ya pembejeo za kilimo kwa mfumo wa vocha - Iringa
  53. Kuhakikisha Isimani inapata maji ya uhakika - Iringa
  54. Kuiwekea lami barabara inayokwenda katika Hifadhi ya Taifa ya Ruaha, ambayo ndiyo hifadhi kubwa kuliko zote Tanzania - Iringa
  55. Kulinda usalama wa wananchi kwa ujumla ili kudumisha amani na sifa ya nchi -Ifunda
  56. Kutokomeza malaria 2015 - Bunda, mkoa wa Mara
  57. Kuwapa wanawake nafasi zaidi - Kilolo, Iringa
  58. Ahadi kuisadia Zanzibar kuendeleza miradi mbalimbali ya kijamii - Kibandamaiti Mjini Zanzibar
  59. Kuipandisha hadhi hospitali ya Mnazi Mmoja Zanzibar kuwa ya rufaa - Kibandamaiti mjini Zanzibar
  60. Kuisaidia Zanzibar kila panapohitajika msaada - Kibandamaiti
  61. Serikali kujenga upya bandari ya Mbambabay - Ruvuma
  62. Ununuzi wa Meli mpya yenye uwezo wa kubeba tani 400 - Mbambabay Ruvuma
  63. kufufua chama kikuu cha ushirika cha wakulima wa Mbinga (MBICU) – Ruvuma
  64. Ahadi Rais wa Marekani Barack Obama kuimwagia misaada Tanzania – Ruvuma
  65. Ahadi hakutakuwa na umwagaji wa damu baada ya uchaguzi-Dar es Salaam
  66. Mtwara kuwa mji wa Viwanda – Mtwara
  67. Ahadi ujenzi wa kwanda cha dawa ya kuua viluilui vya mbu - Kibaha
  68. Hospitali ya Tumbi kuwa ya mkoa - Kibaha
  69. Halmashauri ya manispaa ya Kibaha kutenga eneo maalumu la viwanda - Kibaha
 
5.Malipo kwa watendaje wake
6.vitendea kazi kama magari, pikipiki,vipeperushi,nk kuwafikia wapiga kura
7.Takwimu sahihi za wanachama
8.vitega uchumi vingi. OK,OK.
 

Hadithi imempata mkunaji umeanzisha thread kwa ID nyingine ili uje ujijibu ,hongera kijana kwa kuwa mfitini wa chama chako hizo sio constructive criticism bali ni defarmation,kwenye vikao vyenu hamuongei hayo,kama yana ukweli
 

Ndugu Tumaini Makene umesema maelezo ya Isaac JK ni "Very vague" are you serious? Hivi wewe si ndiyo vague zaidi? mbona na wewe unasema mambo mengi yapo kwenye hatua mbalimbali za utekelezaji (mchakato). hivi hukumbuki hili neno limekuwa linaleta chuki hata katika serikali (mchakato) mpaka wananchi wanakasirika?

kuna majibu ambayo ungeweza kujibu moja kwa moja

mfano kuhusu ofisi kuna shida gani kusema tumeshajenga msingi tunaendelea au tuna michoro? Je namna maandamano yanavyokuwa organized haiwezekani kufanya hivyo katika kujenga ofisi hasa za mikoani ambazo ni aibu hata kuzitizama?

kuhusu gazeti - Tanzania daima ni la chama au mtu binafsi na je kuna ruzuku inatolewa kwa gazeti ambalo si la chama? ungeweza kujibu kwa ufupi tu kwamba gazeti ni la mtu binafsi au la chama.

kuhusu takwimu - Je wanachama wangapi? hii inahitaji mchakato upi wakati kula mara kadi zinatolewa?

mimi wasiwasi wangu nyie wenye nafasi katika CHADEMA mnajisahau na tunarudi kule kule. You guys you must show the difference otherwise mie huwa naona wanasiasa wote ni walewale - walaghai tu
 

You too you are the part of the problem why do you distance your self from the failures :::ghosh your are well know to be one of your parties system, a highly ranked individual, dont use a keyboard to defend yourself go and solve your problems with your colleges
 

Makene anajua jinsi ya kujibu na ana uwezo mkubwa tu wa kupanga hoja zikaeleweka.

Jibu alilolitoa hapa ni ujumbe tosha kuwa chama kinaendeshwa kilaghai. Anajaribu kumtupia lawama muuliza swali kuwa yuko vague, lakini yeye anatumia mistari mingi kujibu in a vague manner kuwa wako kwenye mchakato.

Hawa watu ni MATAPELI...
 

Yaani Makene aje waanikie mambo mengine ndani ya chama kwenye hii public domain duh, kama hujaridhika na majibu hayo do your homework
 

kweli kabisa ni cha kitapeli kama wewe na mama yako na ndugu zako munataka kuuliwa na wanachadema ha ha ha matapeli mmh
 
Kama wewe ni mwanamke ni malaya.

Unajifanya mshauri wa CDM wakati unaiombea kifo.

Kuna watu mnaoamini kuwa jinsia ya kike ni kama chombo cha kutumia ili kutukana. Hilo ni tatizo ambalo linasababishwa na kuwa primitive.

Vijana wa bavicha ndio matatizo yenu. Ndio maana mlimfanyia fitina Juliana Shonza asiwe kiongozi kutokana tu na jinsia yake.

Jifunzeni kwuaheshimu akina mama. Bila kuwepo kwa mama usingekaa hapo unaandika mawazo yako ya ki- bavicha bavicha...
 

kama ni kweli wewe inakuuma nini si ushangilie basi.......
 
Iv radio inagharim kiasi gani ikiwa Lembeli, Kagasheki, Rage etc wanamiliki na CDM wanashindwa?
 

Nimekufananisha na malaya kwa kuwa una tabia hizo.
 

  • Kuna taratibu za kuanzisha gazetu huru la chama,redio na tv.
  • Pikipiki tayari zipo makao makuu japo si nyingi sana; ila zipo na zinapelekwa kwenye M4C.
  • Magali yapo machache na yataendelea kununuliwa kadiri vyanzo vya fedha vitakavyopatikana, lakini sio vibaya wewe kama mdau ukaonesha njia.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…