Mfalme wa Gheto
Member
- Jul 27, 2012
- 41
- 28
Jamani hv hii nchi
inaelekea wapi? Waziri mkuu ktk kikao kilichopita cha bunge akijibu
swali kuhusu kuchelewa kwa mishahara alisema tatizo limekwisha. Sasa
mnaweza jionea hali halisi kwa kutembelea mbao za matangazo
Muhimbili,wamesema pesa itachelewa kwa sababu mpaka sasa bado
hawajaletewa toka hazina. Hivi watu tukisema waziri mkuu ni muongo kama
Godbless Lema alivyosemaga watasema hatumtendei haki waziri mkuu? dah!
Tanzania zaidi ya uijuavyo. source mimi mwenyewe nimeliona tangazo kwa
macho yangu.
Kwani huyo Waziri mkuu alipokuwa anajibu hilo swali alisema sababu ya kucheleweshwa kwa mshahara zilikuwa ni zipi?
Kwani huyo Waziri mkuu alipokuwa anajibu hilo swali alisema sababu ya kucheleweshwa kwa mshahara zilikuwa ni zipi?
Walaaniwe wote wacheleweshao salary za watu kwa makusudi.
Wanajiandaa kupeleka wanajeshi Congo kupambana na M23, na Membe alisema hawahitaji msaada wa mtu yeyote kupeleka battalion moja huko mashariki mwa Congo kwani watatumia pesa zao wenyewe. Jiulize hizo pesa wanazitoa wapi na je hiyo budget walikuwa nayo?
Inabidi mishahara ichelewe kidogo, teh...
kama ni kweli kazi tunayo sasa,na hili la leo kontena lenye vifaa bandia vya ARV lanaswa tena (source EA radio)
ivi ile kesi ya kiwanda kile cha ARV wamefikishwa mahakamani?
Hii serikali ni horrible sijapata kujua, walitaka kuchukua kichwa cha nyerere na mkwawa wakapime brain capacity zao!! Nawaita tena bureeeeeeeeeee siku itakapofika ya jk, wachukuwe kichwa chake, wakapime umburula wake, na wala kisirudi tena!