Jamani hv hii nchi inaelekea wapi? Waziri mkuu ktk kikao kilichopita cha bunge akijibu swali kuhusu kuchelewa kwa mishahara alisema tatizo limekwisha. Sasa mnaweza jionea hali halisi kwa kutembelea mbao za matangazo Muhimbili,wamesema pesa itachelewa kwa sababu mpaka sasa bado hawajaletewa toka hazina. Hivi watu tukisema waziri mkuu ni muongo kama Godbless Lema alivyosemaga watasema hatumtendei haki waziri mkuu? dah! Tanzania zaidi ya uijuavyo. source mimi mwenyewe nimeliona tangazo kwa macho yangu.
hahhahahahahahahahahahahahhHii serikali ni horrible sijapata kujua, walitaka kuchukua kichwa cha nyerere na mkwawa wakapime brain capacity zao!! Nawaita tena bureeeeeeeeeee siku itakapofika ya jk, wachukuwe kichwa chake, wakapime umburula wake, na wala kisirudi tena!
Ccm oyee! Yaani ukisikia ccm wanafanya ziara za chama mikoani uhesabu maumivu kwa watumishi wa serikali. Eti kinana na wenzake wafanye mapinduzi ya uchumi wakati kulipa vimshahara vya watumishi wanashindwa! Ccm! Ccm! Ccm! Ccm! Ccm! Ccm!
Hii serikali ni horrible sijapata kujua, walitaka kuchukua kichwa cha nyerere na mkwawa wakapime brain capacity zao!! Nawaita tena bureeeeeeeeeee siku itakapofika ya jk, wachukuwe kichwa chake, wakapime umburula wake, na wala kisirudi tena!
Of all people, you take Mr. PM's word?!
Of all people, you take Mr. PM's word?!
walaaniwe wote wacheleweshao salary za watu kwa makusudi.
Hii serikali ni horrible sijapata kujua, walitaka kuchukua kichwa cha nyerere na mkwawa wakapime brain capacity zao!! Nawaita tena bureeeeeeeeeee siku itakapofika ya jk, wachukuwe kichwa chake, wakapime umburula wake, na wala kisirudi tena!
Tena mukimkumbusha atalia
Jamani ukitaka kuwa mwanasiasa lazima uwe mwongo na unayejua kupanga vyema propaganda zako ili hata wale wanaojifanya wajuaji waingie mkenge wa kufikiri kuwa kinachosemwa ni kweli..! Niliwaambia mikutano ile lazima imalize pesa hazina, haya sasa yamefika wapi....!
Keep away from Elephant and Giraffe
Haya bana kamshahara ndio hako kametoka ukalipe na madeni.