Nyani Ngabu
Platinum Member
- May 15, 2006
- 92,252
- 113,645
kabla ya kuignore...ni mbongo au sio mbongo????
Anatafuta mtu wa kuchiti au wa kuchati nae? Mimi najua wamama walio kwenye ndoa wanachati tu hawachiti.
weka link au ndio zile site haziongeleki? Unanchekesha.
NN Kuacha ku nanili au kunaniliwa ni chaguo la mtu au matatizo fulani na si ndoa....
Namaste Afrodenzi. Mbona kama vile umepotea njia.....
Duhhh hivi kumbe ..
em ngoja niangalie hii ramani tena..