Zero Hours
JF-Expert Member
- Apr 1, 2011
- 12,944
- 18,654
Fafanua ndugu.BAJESHITE
Mmm ajeshite tenaBAJESHITE
Meaning bashite bajeti in combined sio?BAJESHITE
Watanzania wenzangu hebu njoeni hapa tuzungumze mambo ya kimaendeleo zaidi. Leo ningependa tuzungumzie budget ilyobakiza mwezi moja na nusu kuisha.
Mi ningependa kujua.
Hivi ule mkopo wa trillion 2.1 ambazo Serkal ilizunguka nchi za nje kuomba ilifanikiwa kupata?
Mi ni hilo tu.
From. Kijana mtiifu wa Magufili
Tunafanya uhakiki kwanza.Bajeti ya 2016/2017 ni trioni 27 bado miezi 3 vipi zimetumika ngapi Kwa maendeleo gani?
Mi nauliza milioni 50 kila kijiji zitatoka lini?
Sanaa juu ya sanaaVyeti vya bashite viko wapi kwanza? Hayo mengine waachie wabunge.
Kama kweli wewe ni mtiifu kwa mkulu kwanza ungemsifu kwa kutomtumbua muhusika wa bandari mpaka yeye mkuu ndiye kabaini uovu huo ili hali muhusika hajui.
Ova
Mimi wasiwasi wangu ni kwenye mikopo ya wanafunzi wa vyuo vikuu, sijui mwaka huu tutakopesha wangapi hawa vijana, sijui. Ni mashaka matupu
Nahofia zinaweza kuelekezwa kwenye ujenzi wa majengo ya wizara pale Dodoma ili serikali ihame pale chuonimkuu bodi ya mkopo kwa saa wana hela ya kufa mtu si unajua 15%
Tulikuwa kwenye utafiti na tumeshajiridhisha kuwa vijijini wanatuelewa zaidi kuliko mjini hivyo tarajieni mambo mazuri tutakapo maliza uwanja wa chato