Haya sasa kumekucha twende Jangwani

Haya sasa kumekucha twende Jangwani

Yaani kama mang'ombe vile yanaenda kuchinjwa
 
Kama kawaida yao kubeba watu kwenye malori awajuii ni hatari kweli Ccm majanga akuna jipya Hapo labda kucheck wasanii daymond alikiba na wengine tunawasubiri ukawa tu Ccm waongoo sanaaaa wanataka kutudanganya tena imekula kwao Ccm president ni lowassa
 
Kumbe ni kweli wanabeba watu na malori huu ni udhalilishaji wa binaadam hawa wamekua mizigo?
 
Na usafiri upo, mi nakuja kula ubwabwa ngoja nipitie ndizi kwanza tutakutana jangwani, kula ccm kulala Ukawa

Hahahaa usafiri upo mkuu, wamekodi yale malori toka mnadani huwa yanabeba ng'ombe kupeleka machinjioni😉
 
haya sasa mang'ombe wahi malori muende mnadani. hakuna namna nyingine, yazomewe tu.
 
Mwaka huu hadi raha nimepata majina mengi sana kwa jambo hili,1) makapi
2) oil chafu
3) wanywa viroba
4) Mang'ombe
Haya bado nangoja mengine ila ili la mang'ombe kupakiwa kwenye malori na kupelekwa mnadani ndilo limenichekesha,na kuwahurumia wanaopakiwa kwenye malori
 
Mbona ni sasa hivi tu tumeona makamanda wa usalama barabarani wakijinadi kuwa hawako tayari kuona sheria za barabarani zinavunjwa kwa nashabiki wa vyama kupakizana kwenye maroli, sasa inakuwaje leo mbona hata siku haijapita na kosa hilo linatendwa na chama tawala?
Je, vyama pinzani wakifanya watapigwa tu?!.
 
Jambo hili lingefanywa na CUF ndio leo tungejua kuwa kuna kifungu cha sheria kinachokataza binadamu kubebwa kama mifugo na askari wa usalama barabarani wangepongezwa kwa kutofumbia macho wahalifu. Mbuzi wa Bwana Heri, shamba la Bwana Heri.....!
 
Hiyo haiwez kuwa dar es salaam hata kidogo lazima ni mkoa hapo
Mnapo leta habari kuweni mkijua kuna watu wanatumia akili cio wote carried way ndugu zanguni ndio maan hii jamii forum nw days watu wengi wameanza kuidharau imekuwa kama sehem ya udaku tu
 
Back
Top Bottom