haya nisukume

haya nisukume

heaven on desert

JF-Expert Member
Joined
Jan 25, 2013
Posts
1,025
Reaction score
393
Ilikuwa usiku wa manane,
mtu na mkewe walikuwa
wamelala usingizi, ghafla
wakasikia mtu anagonga
mlango. Mume akaamka
na kufungua mlango;
MUME : Vipi tena usiku
huu? MLEVI : Samahani
mzee nina tatizo naomba
ukanisukume. Mume
akafunga mlango KWA
HASIRA na kurudi kulala.
Jamaa akaendelea
kugonga.
MKE: Kwani anataka nini?
MUME : Mjinga huyo eti
anasema nikamsukume
MKE: Si umsaidie
mwenzako, hata wewe
unaweza ukapata tatizo
gari likakuzimikia usiku.
Mume akaamka akavaa na
kukubali kusindikizana na
mlevi akamsaidie......
MUME : Mbona sioni gari?
MLEVI : Subiri, na hatimae
wakafika mahala kuna
mabembea, mlevi
akapanda moja;
MLEVI : Haya nisukume
 
Hahhaha jamani very fun lol!

Sent from my BlackBerry 9900 using JamiiForums
 
hahahahahahahaha duuuh huyo jamaa ni mweusi.....................................................
 
Back
Top Bottom