Haya ni mapenzi ya kweli au wizi

Haya ni mapenzi ya kweli au wizi

iphone 18 promax

JF-Expert Member
Joined
Nov 17, 2012
Posts
2,917
Reaction score
2,142
Baby naomba unicredity vocha elfu 5000/=, na ukija hostel usisahau kuja na chipsi kuku mzima coz npo na friends zangu,afu nadaiwa elfu35 nlikopa mpenzi wangu na plz mpenzi wangu naomba uniongezee elfu30 ya vitabu na elfu 25 ya saloon c unajua weekend! i love u mwaaaa mwaaaa je haya ni mapenzi au ni wizi wa hela
 
Haya nayo ni mapenzi mkuu...tumia pesa ikuzoee
Unatakiwa kujua kuwa mapenzi yanatafsiri nyingi..'kikubwa' ni maridhiano tu..
Ushauri wangu: Jikune mkono wako unapofikia!..ukiona gari mashine kubwa tafuta ndogo.
 
Hayo ndio malovee yenyewe...mwanamke asiyejua kula hela yangu huwa nampiga kibuti tu...........
 
Baby naomba unicredity vocha elfu 5000/=, na ukija hostel usisahau kuja na chipsi kuku mzima coz npo na friends zangu,afu nadaiwa elfu35 nlikopa mpenzi wangu na plz mpenzi wangu naomba uniongezee elfu30 ya vitabu na elfu 25 ya saloon c unajua weekend! i love u mwaaaa mwaaaa je haya ni mapenzi au ni wizi wa hela

Siku hizi kuna mapenzi ya staili nyingi sana na hasa kwa wadada kwa kuwa na wapenzi wanaokidhi mahitaji yao mbali mbali kama kuwa na mtu wa kumsaidia pesa, usafiri, kumlipia kodi ya nyumba, kutanua nae nk.

Cha msingi fikiria wapi mlikuta na mlikutana kwa misingi ipi; ya kuwa wapenzi au kutumiana! Kisha fanya maamuzi sahihi. Si vibaya kumhudumia mpenzi wako lakini siyo kwa level uliyoionyesha hapo juu! Na hilo la kwenda na kuku mzima kisa, yupo na rafiki zake linanipa mashaka zaidi!
 
Nayo ni mpz ila ninategemea mlianza vp. Kama anajua unawza cy mbay ila kam anaijua hal na anafanya hvy fursa c yako kaka epka mapema.
 
Hayo ndio malovee yenyewe...mwanamke asiyejua kula hela yangu huwa nampiga kibuti tu...........

aiseee lara 1 na Ciello mmesikia hiyo???mi nimekupenda siyo mleta mada analalamika salun 25000.
Kwanza hiyo bei ya saloon ni ya mwaka 2008 kwa sandra saloon au kwa jack manyanya....
Dah
 
Last edited by a moderator:
ndo' mapenzi yenyewe hayo..... kwanza hata huyo mtoto sio mtumia pesa yaani mzinga haufiki hata laki? bila shaka atakua mwanafuzi!
 
Hahahah nimeiona,afu hii mada ishawah letwa hapa jukwaa so its kind repettn pipo muwe creative!! Mleta mada fata ushauri wa SnowBall ka we saizi yako hiace usikimbilie hammer find ur size!!
aiseee lara 1 na Ciello mmesikia hiyo???mi nimekupenda siyo mleta mada analalamika salun 25000.
Kwanza hiyo bei ya saloon ni ya mwaka 2008 kwa sandara saloon au kwa jack manyanya....
Dah
 
Last edited by a moderator:
Naona kijana analalamika wakati papuchi anaitaka...wakati mwingine vijana wa kiume tuache kuendekeza njaa na mawazo ya kimaskini, lakini in reality kama hela zipo sioni kwa nini ujipe taabu na bills ndogo kama hizi!...kula uhondo kwataka matendo ati!
BTW..mdogo wangu Ciello hujambo?...ukimuona nivea na lara 1 wasalimie!

Hahahah nimeiona,afu hii mada ishawah letwa hapa jukwaa so its kind repettn pipo muwe creative!! Mleta mada fata ushauri wa SnowBall ka we saizi yako hiace usikimbilie hammer find ur size!!
 
Last edited by a moderator:
Baby naomba unicredity vocha elfu 5000/=, na ukija hostel usisahau kuja na chipsi kuku mzima coz npo na friends zangu,afu nadaiwa elfu35 nlikopa mpenzi wangu na plz mpenzi wangu naomba uniongezee elfu30 ya vitabu na elfu 25 ya saloon c unajua weekend! i love u mwaaaa mwaaaa je haya ni mapenzi au ni wizi wa hela

huu ndio umalaya aliokuwa anauongole yule bidada ciello.....kuwa every lady ni malaya at some level.....ila mwanawane papuchi za bure hamna. wee kamatia na make sure unaigegeda kisawasawa na kusepa
 
Sijambo broda nasikilizia tu nyu yea! lara 1 yuko bize anashughulikia yelo kadi ya mchaga, mie namsih aangalie isijegeuka red ati,hahahah anatibu wenzie anasahau mgonjwa wake!!!
Naona kijana analalamika wakati papuchi anaitaka...wakati mwingine vijana wa kiume tuache kuendekeza njaa na mawazo ya kimaskini, lakini in reality kama hela zipo sioni kwa nini ujipe taabu na bills ndogo kama hizi!...kula uhondo kwataka matendo ati!
BTW..mdogo wangu Ciello hujambo?...ukimuona nivea na lara 1 wasalimie!
 
Last edited by a moderator:
We mzabzab usinitilie maneno kinywan mwangu, ushindwe na ulegee!
huu ndio umalaya aliokuwa anauongole yule bidada ciello.....kuwa every lady ni malaya at some level.....ila mwanawane papuchi za bure hamna. wee kamatia na make sure unaigegeda kisawasawa na kusepa
 
Last edited by a moderator:
Sijaona wizi hapo, baby anahitaji hela apendeze huna chapa lapa....
achia wenye uwezo, kisu hakina makali unakomaa kula nyama utaweza wapi!!!!
 
aiseee lara 1 na Ciello mmesikia hiyo???mi nimekupenda siyo mleta mada analalamika salun 25000.
Kwanza hiyo bei ya saloon ni ya mwaka 2008 kwa sandara saloon au kwa jack manyanya....
Dah
Mwanaume aliumbwa toke jasho bana kuzitafuta na akishazipata sherti agawane na watoto wazuri...mtoto mzuri lazima adeke, ahudumiwe, ale apendeze bana.........
 
Baby naomba unicredity vocha elfu 5000/=, na ukija hostel usisahau kuja na chipsi kuku mzima coz npo na friends zangu,afu nadaiwa elfu35 nlikopa mpenzi wangu na plz mpenzi wangu naomba uniongezee elfu30 ya vitabu na elfu 25 ya saloon c unajua weekend! i love u mwaaaa mwaaaa je haya ni mapenzi au ni wizi wa hela

Chuna mbuzi wa Vingunguti tena asibakie na ngozi hata ya mkia!!!! Si anajua unazo? Siku ukiwa huna ni lazima atafute spear part ili azibe pengo!! Hapa ni mapenzi au napendwi mtu ni pochi lake tu? Mwanamke wa hivi ni chumia tumbo na starehe tu!! Maendeleo mtafanya lini?
 
Back
Top Bottom