Haya ni mapenzi au mahaba?

Haya ni mapenzi au mahaba?

Afande Fojuman

JF-Expert Member
Joined
Sep 27, 2014
Posts
657
Reaction score
548
Mabadiliko in progress......
 

Attachments

  • 1444819188713.jpg
    1444819188713.jpg
    7.6 KB · Views: 2,233
Mimi hapa sisikii sielewi kuhusu lowassa,i would better die for him.

Ccm has done a lot of irriperable demages to my life,just to mantion few walininyima mkopo huku nikiwa nimetimiza vigezo vyao vyote kusoma shule zote za serikali, kupata daraja walilokua wanataka na kua na uhitaji wa mkopo.

Nikastrugle mwenyewe kusoma chuo kikuu kwa gharama zangu katika hali ngumu sana , wakanisababishia madhara makubwa kisaikolojia.

Mbaya zaidi nikastrugle mwenyewe kusecure a job of my dream bado wananikata kodi kubwa sana hadi sina ham, nawapaje kura watu wapumbavu kama hao.
 
Mimi hapa sisikii sielewi kuhusu lowassa,i would better die for him.

Ccm has done a lot of irriperable demages to my life,just to mantion few walininyima mkopo huku nikiwa nimetimiza vigezo vyao vyote kusoma shule zote za serikali, kupata daraja walilokua wanataka na kua na uhitaji wa mkopo.

Nikastrugle mwenyewe kusoma chuo kikuu kwa gharama zangu katika hali ngumu sana , wakanisababishia madhara makubwa kisaikolojia.

Mbaya zaidi nikastrugle mwenyewe kusecure a job of my dream bado wananikata kodi kubwa sana hadi sina ham, nawapaje kura watu wapumbavu kama hao.

Pole sana sana. I can feel your pain as a parent. Nimesomesha kwa tabu pia naelewa ugumu uliopo, hasa mtoto anapokupigia "sina hata pesa ya maji leo..." Dear God, where are you hiding?
 
Mimi hapa sisikii sielewi kuhusu lowassa,i would better die for him.

Ccm has done a lot of irriperable demages to my life,just to mantion few walininyima mkopo huku nikiwa nimetimiza vigezo vyao vyote kusoma shule zote za serikali, kupata daraja walilokua wanataka na kua na uhitaji wa mkopo.

Nikastrugle mwenyewe kusoma chuo kikuu kwa gharama zangu katika hali ngumu sana , wakanisababishia madhara makubwa kisaikolojia.

Mbaya zaidi nikastrugle mwenyewe kusecure a job of my dream bado wananikata kodi kubwa sana hadi sina ham, nawapaje kura watu wapumbavu kama hao.

Pole sana ndugu.usihofu saa ya ukombozi imewadia.Tumchague LOWASA sasa atutoe kwenye mateso haya.
 
Huyo jamaa anaonesha ni ubunifu wake wa kupiga picha....ila anahitaji kuchunguzwa uwezo wake wa kufikiri kwani unatia mashaka!!!
 
Mimi hapa sisikii sielewi kuhusu lowassa,i would better die for him.

Ccm has done a lot of irriperable demages to my life,just to mantion few walininyima mkopo huku nikiwa nimetimiza vigezo vyao vyote kusoma shule zote za serikali, kupata daraja walilokua wanataka na kua na uhitaji wa mkopo.

Nikastrugle mwenyewe kusoma chuo kikuu kwa gharama zangu katika hali ngumu sana , wakanisababishia madhara makubwa kisaikolojia.

Mbaya zaidi nikastrugle mwenyewe kusecure a job of my dream bado wananikata kodi kubwa sana hadi sina ham, nawapaje kura watu wapumbavu kama hao.

Dont test the depth of the water by two feets!!! weka akiba ya maneno
 
Mimi hapa sisikii sielewi kuhusu lowassa,i would better die for him.

Ccm has done a lot of irriperable demages to my life,just to mantion few walininyima mkopo huku nikiwa nimetimiza vigezo vyao vyote kusoma shule zote za serikali, kupata daraja walilokua wanataka na kua na uhitaji wa mkopo.

Nikastrugle mwenyewe kusoma chuo kikuu kwa gharama zangu katika hali ngumu sana , wakanisababishia madhara makubwa kisaikolojia.

Mbaya zaidi nikastrugle mwenyewe kusecure a job of my dream bado wananikata kodi kubwa sana hadi sina ham, nawapaje kura watu wapumbavu kama hao.

irrepairable
damages
mention
struggle.
 
Back
Top Bottom