Nisaidieni,kwa yeyote ambae ni mtaalam wa Madini. Madini Haya ni ya aina gani,bei yake sokoni
Sent using Jamii Forums mobile app
Sent using Jamii Forums mobile app
Wewe umeyatoa wapi?Nisaidieni,kwa yeyote ambae ni mtaalam wa Madini. Madini Haya ni ya aina gani,bei yake sokoni![]()
![]()
![]()
Sent using Jamii Forums mobile app
Nani alikuambia ni madini hayo? kwel awamu ya tano haitamuacha mtu salamaNisaidieni,kwa yeyote ambae ni mtaalam wa Madini. Madini Haya ni ya aina gani,bei yake sokoni![]()
![]()
![]()
Sent using Jamii Forums mobile app
Madini chuma.... Soko lake ni kwenye viwanda vya chuma! Huo ni utajiri hifadhi vyema kama una eneoNisaidieni,kwa yeyote ambae ni mtaalam wa Madini. Madini Haya ni ya aina gani,bei yake sokoni![]()
![]()
![]()
Sent using Jamii Forums mobile app
Hayo ni mawe mazuri sana aina ya marble, unaweza ukatengeneza kitchen na counter tops maridadi sana, likiwa polished ni very expensive.Hayo si mi mawe tu yako kila sehemu?
Ahsante kwa kutujuza kiongozi.Hayo ni mawe mazuri sana aina ya marble, unaweza ukatengeneza kitchen na counter tops maridadi sana, likiwa polished ni very expensive.
Uvunaji wa Milima: Mbadala wa uvunaji wa misitu