Mkuu,kima kidogo cha mshahara hakitolewi kwa walimu tu bana,watumish wote wa umma mishahara yao ni midogo na haikidhi mahitaji!!
Kwa taarifa yako tu,kwa watumishi wenye degree ya miaka 3 ni walim ndio wenye mshahara mkubwa kuwazidi maafisa wengine km afisa utumishi,afisa aendeleo ya jamii,nk!!
Mwalim mwenye degree anaanza na salary scale ya TGTS-D(532,000) wkt watumishi wengine wenye degree nyingine za miaka 3 km afisa utumishi,afisa maendeleo ya jami,afisa tarafa,weo nk hawa wanaanza na TGS D(511,400) sasa hapo nani ana mshahara mkubwa???
Au mnavyosikia wanaitwa maafisa mnadhan wanalipwa mamilion???