manning
JF-Expert Member
- Apr 1, 2013
- 5,092
- 11,947
Haya ni maajabu ya karne kwa Bunge ambalo lina uwezo wa kumtoa Rais madarakani kwa kupiga kura ya kutokua na imani naye, leo madaraka yake yanataka kupokwa na mahakama ambayo kwa mjibu wa katiba haiwezi hata kumfungulia Rais msitaafu mashitaka !!? Wanatufundisha nini sisi wananchi !!&?