DR SANTOS
JF-Expert Member
- Mar 11, 2019
- 10,519
- 21,440
Unakula mnafiki kumzidi raisi wako😁😁😁Sawa Rais Wangu wa Unafiki JamiiForums nzima. Nimekuelewa Mimi Mjumbe wako.
Unakula mnafiki kumzidi raisi wako😁😁😁Sawa Rais Wangu wa Unafiki JamiiForums nzima. Nimekuelewa Mimi Mjumbe wako.
Hujaniuiliza,vipi unataka kuniuliza!?Nimekuuliza?
The true colours of Gentamycine on the display!! Ni yanga damu damu!! Ila camouflage yake ili asijulikane siyo ya kitoto!!Yanga SC
Imesajili Kiufundi na Kimkakati
Simba SC
Imesajili Kimhemko, Sifa, Kukurupuka na kutokuwa na uhakika
Azam FC
Imesajili Kienyeji, Kipuuzi na Kimazoea
Singida Fountain Gate FC
Imesajili kwa Kuzoa Makapi yaliyoachwa, Kishamba na kwa Kutegemea tu Kudra za Mwenyezi Mungu
Utabiri wangu Kimsimamo....
Bingwa ni Yanga SC
Mshindi wa Pili Simba SC
Mshindi wa Tatu Singida Fountain Gate FC
Mshindi wa Nne Azam FC
Ukinuna na huu Ukweli jinyonge Ufe.
Akaribie mara ngapi? mbona huyu ni mwananchi lia lia!Karibu yanga genta
naunga mkono uzi kwa heshima zoteYanga SC
Imesajili Kiufundi na Kimkakati
Simba SC
Imesajili Kimhemko, Sifa, Kukurupuka na kutokuwa na uhakika
Azam FC
Imesajili Kienyeji, Kipuuzi na Kimazoea
Singida Fountain Gate FC
Imesajili kwa Kuzoa Makapi yaliyoachwa, Kishamba na kwa Kutegemea tu Kudra za Mwenyezi Mungu
Utabiri wangu Kimsimamo....
Bingwa ni Yanga SC
Mshindi wa Pili Simba SC
Mshindi wa Tatu Singida Fountain Gate FC
Mshindi wa Nne Azam FC
Ukinuna na huu Ukweli jinyonge Ufe.
Atakua leo kameza dawa zake kwa wakatiKweli kuna wakati hata saa mbovu inaweza kusoma majira sahihi.
Hongera sana Mdogo angu GENTAMYCINE, The King! Kwa uchambuzi bora kabisa.
Nikiwa kama kaka yako mkubwa, hakika ninajivunia kuwa na mdogo kama wewe.
Kama kawaida yanguKatika ubora wako the pure talented GENTAMYCINE hunaga unafiki kabisa
Wanangu wa Yanga mikono juuYanga SC
Imesajili Kiufundi na Kimkakati
Simba SC
Imesajili Kimhemko, Sifa, Kukurupuka na kutokuwa na uhakika
Azam FC
Imesajili Kienyeji, Kipuuzi na Kimazoea
Singida Fountain Gate FC
Imesajili kwa Kuzoa Makapi yaliyoachwa, Kishamba na kwa Kutegemea tu Kudra za Mwenyezi Mungu
Utabiri wangu Kimsimamo....
Bingwa ni Yanga SC
Mshindi wa Pili Simba SC
Mshindi wa Tatu Singida Fountain Gate FC
Mshindi wa Nne Azam FC
Ukinuna na huu Ukweli jinyonge Ufe.
Kwahyo ajibu ni winga??dah dunia hiiSimba Wamesajili kwa KUKURUPUKA na MIHEMUKO.
Wamesajili kwa LENGO la kuwafurahisha Mashabiki.
Simba hawana Beki
Hawana kiungo mkabaji.
WANARUDIA MAKOSA Kila wakati.
Mwaka 2020 walikuwa na mawinga 11.
1. Perfect CHIKWENDE.
2. BENARD MORISON.
3. Dunkan Nyoni.
4. Pape sakho.
6 peter Banda.
7. Hassan Dilunga.
8. Ibrahim Ajibu.
9. Hassan Dilunga.
10. Muhilu.
MWAKA 2023 WANARUDIA YALE YALE.
1. KIBU Denis.
2.Saido ntibazonkiza.7 to 10.
3 CLOTUS chama 10 to 11.
4. Essomba Onana.
5. Aubin Kramo.
6.jimyson mwinuke.
7. Luis Miguisson
( Peter Banda )
ALEX FERGASON KOCHA BORA WA DUNIA ANASEMA.
"Safu Bora ya ushambuliaji itafunga MAGOLi. Safu Bora ya ulinzi itakupa Mataji.".
MSIMU uliopita Simba Alikuwa na MAGOLi zaidi ya 100.
Mataji 0.
LIGI KUU 75.
CAF CL.
AZAM FC
WAMECHAGUA MAGOLI NA SI MATAJI.
Kwahyo ajibu ni winga??dah dunia hii
Na Wewe ukubwa wote huo bado tu hujui Kiswahili? Kuna neno Kubadirika kama Ulivyoandika hapa au neno sahihi na fasaha ni Kubadilika?Alikuwa ANATOKEA pembeni wakati chama akiwa Simba Ajibu Alikuwa ANACHEZA 7
Kuna aina karibu Tano za mawinga.
Winga (Banda)
Kiungo WA pembeni. (Sakho)
Mshambuliaji WA pembeni (KIBU)
Wing back nk.....
Kama hujui kitu uliza
Mpira umebadirika ACHA USHAMBA.
Nawakumbusha tuYanga hata akiweka kikosi cha tatu wana uhakika wa kuwafunga Azam na Singida wakati Simba inabidi kila mechi apambane haswa. Tofauti iko hapo.
Niliwahi kusema, Simba inabidi wacheze mechi kadhaa za Yanga hasa mwanzoni mwa msimu ili wadondoshe points. Hivi hivi, sijui.....