NALIA NGWENA
JF-Expert Member
- Oct 6, 2016
- 10,307
- 12,805
(1) Goli la Azizi Ki lililoleta utata dhidi ya Mamelodi Fc
Simba sc walifungwa goli mbili na Al ahly lakini kutokana na goli la azizi K kuzungumziwa Africa nzima, mashabiki wa Simba sc nao walisahau kabisa kuhoji mwenendo mbovu wa timu yao Kama ilivyozoeleka kwa Kupiga makelele wakishinikiza Mangungu aondoke.
(2) Interview ya Fiston kalala Mayele, hii interview ipo kimikakati zaidi imewasahaulisha mashabiki wa Simba sc kuwa wametolewa kwenye kombe la Crdb FA, baada kutolewa kwa mikwaju ya penati na wazee wa mapigo na mwendo.
Mashabiki Wameshindwa kabisa kuhoji timu Yao juu mwenendo mbaya na matokeo mabovu mwisho wa siku wamejikuta Wakiingia kwenye mtego wa kuzomea zomea Mambo ya Yanga Sc ambayo inaongoza ligi na imefuzu Robo kwenye kombe La Crdb.
Mafanikio Ya Simba sc msimu huu ni kuishia robo kimataifa Kama ilivyofazoeleka, Kufungua wasap channel na kupata Ngao ya Jamii.
Maoni Yangu: Mashabiki shitukeni mnapaswa kuhoji achaneni na propaganda za kutengeneza ili kuwatoa kwenye Reli.
Simba sc walifungwa goli mbili na Al ahly lakini kutokana na goli la azizi K kuzungumziwa Africa nzima, mashabiki wa Simba sc nao walisahau kabisa kuhoji mwenendo mbovu wa timu yao Kama ilivyozoeleka kwa Kupiga makelele wakishinikiza Mangungu aondoke.
(2) Interview ya Fiston kalala Mayele, hii interview ipo kimikakati zaidi imewasahaulisha mashabiki wa Simba sc kuwa wametolewa kwenye kombe la Crdb FA, baada kutolewa kwa mikwaju ya penati na wazee wa mapigo na mwendo.
Mashabiki Wameshindwa kabisa kuhoji timu Yao juu mwenendo mbaya na matokeo mabovu mwisho wa siku wamejikuta Wakiingia kwenye mtego wa kuzomea zomea Mambo ya Yanga Sc ambayo inaongoza ligi na imefuzu Robo kwenye kombe La Crdb.
Mafanikio Ya Simba sc msimu huu ni kuishia robo kimataifa Kama ilivyofazoeleka, Kufungua wasap channel na kupata Ngao ya Jamii.
Maoni Yangu: Mashabiki shitukeni mnapaswa kuhoji achaneni na propaganda za kutengeneza ili kuwatoa kwenye Reli.