Haya ndiyo Mama Samia amekataa ona Mwaka 2018 polisi walivyoshirikiana na TRA kwa nguvu kukusanya Kodi

britanicca

JF-Expert Member
May 20, 2015
15,636
30,004
Haya ndiyo Mama Samia amekataa ona Mwaka 2018 polisi walivyoshirikiana na TRA kwa nguvu kukusanya Kodi


 
Hii sio habari ambayo iko balanced. Sasa kama ndio ushauri huu anapewa Mama si nchi inaende kumshinda! Unasaidia yatima na jamii kwa fedha yao uliyo waibia kupitia ukwepaji kodi huu si utapeli kama utapeli mwingine tu.
 
Hii sio habari ambayo iko balanced. Sasa kama ndio ushauri huu anapewa Mama si nchi ibaendexkumshinda! Unasaidi yatima na jamii kwa fedha yao uliyo waibia kupitia ukwepaji kodi huu si utapeli kama utapeli mwingine tu.
Naona Mataga mmechanganyikiwa mpaka mnaandika kilimbukeni aka kisukuma.
"...ibaendexkumshinda..." ni lugha gani hii.
Hakika shetani ameshindwa, Tanzania imekombolewa.
 
Naona Mataga mmechanganyikiwa mpaka mnaandika kilimbukeni aka kisukuma.
"...ibaendexkumshinda..." ni lugha gani hii.
Hakika shetani ameshindwa, Tanzania imekombolewa.

Sana imekombolewa kwa jina la JMT. Huu ni ukombozi na ushindi mkuu wa mungu na wafuasi wake.
 
Mama hajakataa chochote.Lile ni changa la macho!Anatakiwa kukataa kwa kuzifuta sheria zote gandamizi za kukusanya kodi ambazo alizitunga yeye pamoja na Magufuli na siyo kukataa kwa maneno matamu wakati sheria gandamizi za kukusanya kodi zipo palepale!Nchi huwa inaongozwa kwa mujibu wa sheria na wala siyo kwa mujibu wa maneno matamu.
 
Kuna kenge mbili zimekufa kwenye harakati za kupora ..Kodi.. zipumzike kwa mateso ..
 
Mama hajakataa chochote.Lile ni changa la macho!Anatakiwa kukataa kwa kuzifuta sheria zote gandamizi za kukusanya kodi ambazo alizitunga yeye pamoja na Magufuli na siyo kukataa kwa maneno matamu wakati sheria gandamizi za kukusanya kodi zipo palepale!Nchi huwa inaongozwa kwa mujibu wa sheria na wala siyo kwa mujibu wa maneno matamu.
Sawa lakini mwanzo mzuri angalau wenye kutia matumaini. Hatua kwa hatua tutafika. Hatua ya kwanza ni kutambua kuna tatizo na Mh. Rais ametambua hilo.
 
Sawa lakini mwanzo mzuri angalau wenye kutia matumaini. Hatua kwa hatua tutafika. Hatua ya kwanza ni kutambua kuna tatizo na Mh. Rais ametambua hilo.
Atambue kuwa kuna tatizo kwa kuzifuta sheria ambazo zinaleta matatizo na siyo kutupa maneno matamu.Hatutaki maneno matamu kwa sababu maneno matamu ni mtaji wa wanasiasa.Wanasiasa hutumia maneno matamu kuhadhaa watu ili watimize malengo yao mabaya.
 
Sawa lakini mwanzo mzuri angalau wenye kutia matumaini. Hatua kwa hatua tutafika. Hatua ya kwanza ni kutambua kuna tatizo na Mh. Rais ametambua hilo.
JPM alikemea ukusanyaji wa kodi wa aina hii tena kwa maneno makaliii,tena kuzidi SSH

Lakini kwa kuwa sheria za kodi ni zile zile jamaa waliendelea na mtindo wao ule ule kutimiza malengo walowekewa

SSH na makam wake wameweka malengo ya trilion 2 alafu wanawaambia TRA wawe wapole,si uongo huo?

naunga mkono watazame sheria kandamizi kwanza
 
JPM alikemea ukusanyaji wa kodi wa aina hii tena kwa maneno makaliii,tena kuzidi SSH

Lakini kwa kuwa sheria za kodi ni zile zile jamaa waliendelea na mtindo wao ule ule kutimiza malengo walowekewa

SSH na makam wake wameweka malengo ya trilion 2 alafu wanawaambia TRA wawe wapole,si uongo huo?

naunga mkono watazame sheria kandamizi kwanza
Acha upofu
 
Atambue kuwa kuna tatizo kwa kuzifuta sheria ambazo zinaleta matatizo na siyo kutupa maneno matamu.Hatutaki maneno matamu kwa sababu maneno matamu ni mtaji wa wanasiasa.Wanasiasa hutumia maneno matamu kuhadhaa watu ili watimize malengo yao mabaya.
Anaweza futa hizo sheria nabado asizitekeleze, mfano hakuna sheria inayokataza mikutano ya siasa lkn ilipigwa vita, chakwanza niile motive behind, chapili ndio huo urekebishwaji wa sheria,kwahio tumpe Muda Mama yetu Samia.
 
Back
Top Bottom