Tujaribu hata kuona haya madogo kwanza, mambo mazuri yatakuja tu.Nafurahi sana kusoma comment ya namna hii, mkuu wewe una mtazamo makini!! Watz wengi wamekalia kuponda tu bila kujali hali ya shirika letu ilivyokuwa, wanadhani mafanikio yanakuja overnight!!
icho kipepeo sipendi kukiangalia mimi, naona aibu kwa rwanda na kenya. hata zimbabwe tu. hatutakiwi kuongea kabisa, tutaongea baadaye tutakaponunua ndege kubwa. hapa tupite kimyakimya tu.
We umezoea kupakatwa ufipa na wanene kwa hiyo lzm uone ni kipepeoicho kipepeo sipendi kukiangalia mimi, naona aibu kwa rwanda na kenya. hata zimbabwe tu. hatutakiwi kuongea kabisa, tutaongea baadaye tutakaponunua ndege kubwa. hapa tupite kimyakimya tu.
kinachowaponza sisiemu ni matusi na kujifanya mnajua. ndo maana nchi mnaipeleka pabaya.We umezoea kupakatwa ufipa na wanene kwa hiyo lzm uone ni kipepeo
Nyie wakwepa kodi Chadema mnaipeleka wapi nchi??kinachowaponza sisiemu ni matusi na kujifanya mnajua. ndo maana nchi mnaipeleka pabaya.
Naomba kuuliza...Baada ya miaka 50+ ya uhuru tunaleteana kapicha ka photoshop eti ndege inapaa!!!!
Japo wanasema paul kagame hataki kuachia madaraka lakini ameweka juhudi mpaka wametuacha sisi tukia na kipicha cha ndege!!! Ethiopia na kenya wote wametuacha ...sisi bado tupo na kipicha cha ndege inayopaa!!!
Hii ndege haina hata uwezo wa kwenda hapo kenya achilia mbali japan...usa...europe!!! Yanu ni ya mwanza...kilimanjaro dar...morogoro daaah!!
Changamsha akili wewe...hujui pa kutafuta?Naomba kuuliza...
Morogoro kuna Airport?