Haya ndege hiyoooooo

Nafurahi sana kusoma comment ya namna hii, mkuu wewe una mtazamo makini!! Watz wengi wamekalia kuponda tu bila kujali hali ya shirika letu ilivyokuwa, wanadhani mafanikio yanakuja overnight!!
Tujaribu hata kuona haya madogo kwanza, mambo mazuri yatakuja tu.
 
Kama ndio hiyo, basi mimi nitaendelea kupanda gari nikiwa na Safari ya Dar-Tabora
 
icho kipepeo sipendi kukiangalia mimi, naona aibu kwa rwanda na kenya. hata zimbabwe tu. hatutakiwi kuongea kabisa, tutaongea baadaye tutakaponunua ndege kubwa. hapa tupite kimyakimya tu.
We umezoea kupakatwa ufipa na wanene kwa hiyo lzm uone ni kipepeo
 
Naomba kuuliza...
Morogoro kuna Airport?
 
Mbona wameipak rangi ya nyumba?
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…