DOKEZO Haya mashimo barabarani tunataka yachimbuke futi ngapi ili kuyaziba

Hili ni dokezo maalum toka kwa mwananchi mtumiaji wa JF mwenye nia ya kuusaidia umma kuwa na taarifa 'maalum'
Kwanini tusijenge mitaro mikubwa ya ardhini....yaani mtandao wa mitaro mtaa hadi mtaa mixer maji taka ya majumbani
 
Njoo mkoani mtwara ambapo shetani amechimba mashimo mpk ameamua kuyafukia mwenyewe tu!
Mwisho wa mwaka nilkuwa nampeleka jamaa yangu mkoa wa Tanga kutoka huko kusini (masasi) to Tanga asee unakwepa mashimo na draft za kutosha hadi unabaki kucheka
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…