Haya maombi sasa ni kero

Haya maombi sasa ni kero

SPANISH CP

JF-Expert Member
Joined
Apr 5, 2014
Posts
465
Reaction score
230
Ni ktk hospitali ya mkoa Mt.Meru Arusha,asubuhi na mapema wainjilisti na waombezi wanajazana ktk wodi za wagonjwa kelele tupu,uongozi wa hospitali uliangalie vyema hili ni usumbufu kwa wagonjwa.
 
Ni ktk hospitali ya mkoa Mt.Meru Arusha,asubuhi na mapema wainjilisti na waombezi wanajazana ktk wodi za wagonjwa kelele tupu,uongozi wa hospitali uliangalie vyema hili ni usumbufu kwa wagonjwa.

wewe ndo una mapepö, watu wako desperate wanataka kupóna wewe unaongea ovyo hujalazwa wewe.
 
wewe ndo una mapepö, watu wako desperate wanataka kupóna wewe unaongea ovyo hujalazwa wewe.

Tatizo si maombi tatizo ni maombi kwa makele kwani haiwezekani ikawa kimya kimya?
Hebu fikiria wale wengine wakija na madufu yao wakaanza kupiga humo wodini kutakalika?
 
Ni ktk hospitali ya mkoa Mt.Meru Arusha,asubuhi na mapema wainjilisti na waombezi wanajazana ktk wodi za wagonjwa kelele tupu,uongozi wa hospitali uliangalie vyema hili ni usumbufu kwa wagonjwa.

ushindwe ktk jina la YESU tena wewe ni shetani huwezi kuzuia ujumbe wa MUNGU kwa wagonjwa kaa kimya ufumbe kinywa chako ulaaniwe
 
ushindwe ktk jina la YESU tena wewe ni shetani huwezi kuzuia ujumbe wa MUNGU kwa wagonjwa kaa kimya ufumbe kinywa chako ulaaniwe

Mbuzi wewe unakurupuka kama umeguswa kijambio chako.
Mimi sijakataa maombi nimesema utaratibu wa kupiga makele wakati wa maombi.
 
Mbuzi wewe unakurupuka kama umeguswa kijambio chako.
Mimi sijakataa maombi nimesema utaratibu wa kupiga makele wakati wa maombi.

mwehu wewe .,utawezaje kuomba kama hujatoa sauti au wenzako wanakupumulia nyuma
 
Hebu kanunueni sabuni, sukari na juice mkawape wanao hitaji sio kumaliza bando hapa kuchfuliana hewa....
 
Tatizo si maombi tatizo ni maombi kwa makele kwani haiwezekani ikawa kimya kimya?
Hebu fikiria wale wengine wakija na madufu yao wakaanza kupiga humo wodini kutakalika?

shetani bila kumkalipia haelewi mkuu
 
ushindwe ktk jina la YESU tena wewe ni shetani huwezi kuzuia ujumbe wa MUNGU kwa wagonjwa kaa kimya ufumbe kinywa chako ulaaniwe

Kama maombi yanasaidia mbona sala kila siku ya Mwenyekiti wa Bunge la katiba Samuel Sitta imeshindwa kuwarudisha UKAWA ndani ya Bunge?,,maombi hayana lolote zaidi ya imani tu sawa na wale wagonjwa walioenda Loliondo kwa Babu na bado sasa hivi ni wagonjwa kama zamani na wengine tayari ni marehemu kitambo tu!

 
Kama maombi yanasaidia mbona sala kila siku ya Mwenyekiti wa Bunge la katiba Samuel Sitta imeshindwa kuwarudisha UKAWA ndani ya Bunge?,,maombi hayana lolote zaidi ya imani tu sawa na wale wagonjwa walioenda Loliondo kwa Babu na bado sasa hivi ni wagonjwa kama zamani na wengine tayari ni marehemu kitambo tu!


inategemea ni maombi ya namna gani?..MUNGU siku zote anasikiliza na kujibu maombi ya wenye haki wake walio upande wake wenye haki wa MUNGU BUNGENI NI WACHACHE NA HAWAPEWI NAFASI WAKAOMBA Mungu hajibu maombi sehemu ambayo mpo wma waganga wa kienyeji kama kingunge ambao ni mawakala wa shetwani
 
Yeremia 32:27

Tazama mimi ni Bwana, Mungu wa wote wenye mwili ; je ! Kuna neno gumu lolote nisiloliweza?
 
Tatizo si maombi tatizo ni maombi kwa makele kwani haiwezekani ikawa kimya kimya?
Hebu fikiria wale wengine wakija na madufu yao wakaanza kupiga humo wodini kutakalika?

hujaumwa serious wagonjwa wenyewe ndo wanataka wangekuwa walalazimishwa hapo sawa
 
hujaumwa serious wagonjwa wenyewe ndo wanataka wangekuwa walalazimishwa hapo sawa
Huko ni wainjilisti Temeke na Tumbi na kwingineko ni mashekhe na waumini wao na wakiingia huko ndani ni mengi yanafanyika!!wengine wanataka hadi nguo yeyote yenye damu waondoke nayo.Naomba tusichafue hali ya hewa wenye dini zenu Mungu awape hekima na kuvumiliana.
 
Back
Top Bottom