GenuineMan
JF-Expert Member
- Jun 13, 2017
- 7,068
- 16,380
Kuna mama,
Mshahara wake ni chini ya laki tatu, anaishi na watoto wa kijana yake ambae ashafariki.
Watoto bado wanasoma.
Basi yeye na mme wake wamepambana weee mpaka wamesimamisha nyumba ya kuishi huko mbele ya mbagala huko. Nje ya jiji la DSM.
Nyumba ni zakawaida tuu. Za kipato cha chini.
ile wameamia tuu hata miezi miwili haijaisha.
Ardhi ya lile eneo ikaanza kupasuka, nyumba nazo zitengeneza nyufa kubwa tuu.
Kila siku nyufa zinaongezeka.
NYumba ikawa haiwezi kukalika tena.
Imebidi warudi tena kwenye nyumba ya kupanga.
Fikiria mali, muda, damu na jasho waliyotumia kujenga nyumba halafu imekuwa ghofu ghafra.
Umaskini ni kama ndio shetani mwenyewe.
Mshahara wake ni chini ya laki tatu, anaishi na watoto wa kijana yake ambae ashafariki.
Watoto bado wanasoma.
Basi yeye na mme wake wamepambana weee mpaka wamesimamisha nyumba ya kuishi huko mbele ya mbagala huko. Nje ya jiji la DSM.
Nyumba ni zakawaida tuu. Za kipato cha chini.
ile wameamia tuu hata miezi miwili haijaisha.
Ardhi ya lile eneo ikaanza kupasuka, nyumba nazo zitengeneza nyufa kubwa tuu.
Kila siku nyufa zinaongezeka.
NYumba ikawa haiwezi kukalika tena.
Imebidi warudi tena kwenye nyumba ya kupanga.
Fikiria mali, muda, damu na jasho waliyotumia kujenga nyumba halafu imekuwa ghofu ghafra.
Umaskini ni kama ndio shetani mwenyewe.