Haya Maendeleo makubwa Kisarawe chini ya Mkuu wa Wilaya Nikki wa Pili yanatisha

Mnakuwaga mnalipwa kiasi gani kuandika mambo ya kijinga kama haya?

Niki ana kipi ambacho unadhani kimetekelezwa hakikuwa kwenye mpango wa Wilaya ya Kisarawe?
Kipi hakikuwa kwenye plan ya Serikali kiasi kwamba Niki anastahili kupongezwa kwa kukikamilisha?
Wewe unalipwa kiasi gani kucomment hapa?
 
Waliopita wote ni watumishi wa umma kama Nikki sasa.. inakuaje sasa kuwe na maendeleo ya kutisha mpaka raia wanakimbia mji? Kwan wengine hawakua wanapewa access ya kufanya maendeleo? Unatuaminisha kua serikali inabagua??
Jipige kifuani alafu sema "Mimi ni mjinga sana"
 
hocyo sana wewe, itaje hiyo miradi mikubwa acha kupotrzea watu mda wao
 
DC si chochote katika suala zima la mipango na maendeleo ya Halmashauri.

Mkurugenzi wa Halmashauri ndiye kiongozi mwenye bajeti yote na mipango yà Halmashauri.

Kumsifu DC au kumlaum juu ya mipango ya Halmashauri siyo sawa
 
kwa kauli kama hizi huyu ndo wanasema mwanamziki msomi wa masters anaenda phd. mbona garbage?
Niki wa pili ni mweupe sana kichwani..hata hiyo masters itakua ya mchongo..hayo maendeleo yenyewe anayoyasema hatuyaoni..watu wa kisarawe wamejaa umasikini wilaya isiyoendelea miaka na miaka..sijui watakula hayo madarasa na vituo vya afya.

Barabara za kisarawe mbovu hazipitiki kipindi cha masika...sijui anaongelea kisarawe ipi huyu..msanii.

#MaendeleoHayanaChama
 
DC si chochote katika suala zima la mipango na maendeleo ya Halmashauri.

Mkurugenzi wa Halmashauri ndiye kiongozi mwenye bajeti yote na mipango yà Halmashauri.

Kumsifu DC au kumlaum juu ya mipango ya Halmashauri siyo sawa
Hawa maDC huwa wanajipendekeza tu..kazi zao kubwa ni kuhakikisha usalama na amani katika wilaya husika..wanaingilia kazi za wakurugenzi ili wapate ujiko kumbe hata sio kazi zao hata vikao tu vya halmashauri vya kupanga maeneleo hawahusiki...ila kila kukicha kupiga picha kwenye miradi...ujinga ni mzigo.

#MaendeleoHayanaChama
 
Hawa maDC huwa wanajipendekeza tu..kazi zao kubwa ni kuhakikisha usalama na amani katika wilaya husika..wanaingilia kazi za wakurugenzi ili wapate ujiko kumbe hata sio kazi zao hata vikao tu vya halmashauri vya kupanga maeneleo hawahusiki...ila kila kukicha kupiga picha kwenye miradi...ujinga ni mzigo.

#MaendeleoHayanaChama
Ninadhani watazamaji wa hizo picha nao wanachangia
 
Madarasa na vituo vya afya ni kodi za wananchi.

Huyu Nickson hiyo pesa ya kujenga vyote hivyo ameitoa wapi?

Pesa nyingine ni za msaada wa C19 relief fund.

Analipwa kiasi gani hadi apate surplus ya kujenga?
 
Back
Top Bottom