Kuna watu watakuja kubisha na kukushambulia kuwa hakuna hii hali hapa nchini. Kwa kweli hali ni mbaya sana katika sekta ya elimu.
Hili la madawati ni mojawapo tu ya matatizo lukuki. Sasa hapo watoto hawa wanawezaje kujifunza vema? Na mwisho wa siku NECTA wanakuja na mtihani mmoja kwa wote. Inauma sana.
yaani hiyo hali ipo mpaka shule za Advanced meza na viti akuna, nakumbuka nilipokuwa nasoma Advanced usipowai asubuhi kuchukua kiti na meza utasoma ukiwa umesismama, Siku ya mtihani unatafuta mbao au ubao ndo unafanya.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.