MINOCYCLINE
JF-Expert Member
- Apr 2, 2015
- 8,011
- 16,748
Tafadhali mnapotutumia Picha mlizopiga Uwanja wa Ndege baada ya Kutua hebu tuwekeeni pia na Picha za Mashabiki zenu baadhi Kupigwa Ngumi na Wanaijeria wakijiandaa kupanda Basi.
Halafu mbona Picha ya Msemaji wenu Mzungu Pori ya Kujificha jificha hapo Uwanjani kwa Kuogopa Kipigo hamtutumii pia.
Nasikia sasa mkijiandaa kutoka hapo Uwanjani mnatakiwa kwenda eneo Maalum kupima Covid-19 na hapo ndipo mnapotegwa na Wanaijeria ambapo Wachezaji wenu Waandamizi watakutwa nao kisha mkihamaki na kupandwa na Hasira ndiyo mtachapika ile mbaya.
Nami Mightier nikiwa kama Mzalendo kabisa nichukue nafasi hii kuwatakia kila la kheri Wawakilishi wa Wenye Nchi Simba SC Timu ya Rivers United FC Ushindi mwema hiyo Kesho na naamini hawatatuangusha.
Oya akina George, Said, Keto na Peter ( Watanzania mliopo hapo Port Harcourt Kimakazi ) tafadhali wekeni Ujangwani wenu pembeni na tutumieni hizo Picha za Umafia ambao tayari mmeshaanza Kufanyiwa wakati Klabu husika ikificha / ikiwaficha Mashabiki wake Oya Oya wengi walioko Dar es Salaam Tanzania.
Nimepenyezewa kuwa Kimeshanuka!!!!
Halafu mbona Picha ya Msemaji wenu Mzungu Pori ya Kujificha jificha hapo Uwanjani kwa Kuogopa Kipigo hamtutumii pia.
Nasikia sasa mkijiandaa kutoka hapo Uwanjani mnatakiwa kwenda eneo Maalum kupima Covid-19 na hapo ndipo mnapotegwa na Wanaijeria ambapo Wachezaji wenu Waandamizi watakutwa nao kisha mkihamaki na kupandwa na Hasira ndiyo mtachapika ile mbaya.
Nami Mightier nikiwa kama Mzalendo kabisa nichukue nafasi hii kuwatakia kila la kheri Wawakilishi wa Wenye Nchi Simba SC Timu ya Rivers United FC Ushindi mwema hiyo Kesho na naamini hawatatuangusha.
Oya akina George, Said, Keto na Peter ( Watanzania mliopo hapo Port Harcourt Kimakazi ) tafadhali wekeni Ujangwani wenu pembeni na tutumieni hizo Picha za Umafia ambao tayari mmeshaanza Kufanyiwa wakati Klabu husika ikificha / ikiwaficha Mashabiki wake Oya Oya wengi walioko Dar es Salaam Tanzania.
Nimepenyezewa kuwa Kimeshanuka!!!!