Inasemekana kuna kabila moja nchini kenya wanawake huwa wanawanyanyasa na kuwapiga wanaume zao.na hii picha ni ya mmoja wa wanaume ambaye amekutana na ukatili wa mke wake....je wanawake wa tanzania mnatamani kuwa na ubavu kama hili kabila la kenya?wanaume mnasemaje kama hali kama hii ingekuwa na tanzania?