Hawana pa kukimbilia!


Kama tumeshindwa kuzuia ujangili bora tufundishe namna bora ya kung'oa pembe na meno bila kuwaua.. Hata ikiwezekana tutumie sindano za usingizi na ganzi na kila jangili lazima awe na daktari wa kufanya zoezi. Haya ni mawazo ya mwananchi wa kawaida asiye na uwezo wa kulinda hata ujangili kwa kuku wake wa familia. Je sawa???????
 
kwani aking'olewa asipokufa anaota mengine tena?naomba kama kinana yupo huku anisaidie jibu.
 
Wanamkimbia Kinana. Ole wao awakamate watajuta kumfahamu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…